Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ma femmeEn effet[emoji1073][emoji1073][emoji1073][emoji1073][emoji1073]
Ili liwe la kike ongeza "na"Nafikiria kubadili ID yangu nijiite Messi...
Itakuwa poa sanaNafikiria kubadili ID yangu nijiite Messi...
Mtani nina mahaba na Messi, mpaka sijielewi tena ππππππIli liwe la kike ongeza "na"
Hivyo uitwe Messina
Mfundishe pia lugha ya Messi aijue naona bado anashangaa shangaa tu kama mbuzi anayesubiri kuliwa πIli liwe la kike ongeza "na"
Hivyo uitwe Messina
We timu gani hapo eplJaman football is beautiful,ni tamu,meeeen kweli mnafaidi.As we come to an end(of WC),I personally would like to thank kila mmoja wenu humu kwenye huu uzi kwa upendo wenu.
Nimejifunza vingi abt football,cnt wait for EPL.
Messi atawauaa jamani mwee na ufupi wake walaaaa watu wanamuona mrf kama peter krochi sijui anaitwaga hivyoo... hahahaMtani nina mahaba na Messi, mpaka sijielewi tena ππππππ
Merci beaucoup !!All the Best France
Anaitwa Peter Crouch mtani humohumo... Ufupi wa Messi hata siuoni yaani mtani. Yaani Messi moja kwa moja Peponi π€£π€£π€£π€£π€£π€£Messi atawauaa jamani mwee na ufupi wake walaaaa watu wanamuona mrf kama peter krochi sijui anaitwaga hivyoo... hahaha
Yeyote yule kichapo ni palepaleHuyu kocha wa France anazingua, utamuachaje konate uanze na upamecano
Konate anaumwa bado hajawa sawa inavyosemekanaHuyu kocha wa France anazingua, utamuachaje konate uanze na upamecano