Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Iweeee mushaijaaa🤣🤣🤣Kombe la dunia la mchongo
Hakuna penati pale.
VAR ipo kwanini isitumike?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iweeee mushaijaaa🤣🤣🤣Kombe la dunia la mchongo
Hakuna penati pale.
VAR ipo kwanini isitumike?
Mashindano ya mchongo, kila kitu kimepangwa
Namaanisha maombi kwa Argentina, nakumbuka yale maombi yako mazitoWEEEE MAOMBI GANIII??ME ARGENTINA OGGGGGG HAPA NAWAOMBEA ARGENTINA
Vyovyote Mwifwa...Hii penati ya mchongo
Kombe la mchongoKombe la dunia la mchongo
Hakuna penati pale.
VAR ipo kwanini isitumike?
Meza maweeeKombe la dunia la mchongo
Hakuna penati pale.
VAR ipo kwanini isitumike?
We mwenyewe umeona ni ya mchongoKama penati ya mchongo basi Zimeni TV mkalale
HAHAHAHAHAHAHAUmeona eh huyo ndo Di Maria. Mtu mwenye nyota na argentina. Umeamini ss
No kamgongaKuguswa mkono tu ndio ujiangushe?
FIFA wamezingua sanaMhmhmhmh penalty ya hovyo mno.
Watulize vitako vyao sasaKama penati ya mchongo basi Zimeni TV mkalale