Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Mechi ishaisha hii mkuuDechamps anajua kusoma game. Game bado ipo
Amemaliza kuzila au bado anatafuna?America nzima Kuna weusi Ila Argentina tu ndyo hakuna weusi wabaguzi wakubwa nyie
Mbape anakula karanga mbichi sshv [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji471][emoji471][emoji471]
Nani kakudanganya?Mechi ishaisha hii mkuu
🤣🤣🤣 relaaaax mkuu, mpira ni furaha.
Mkuu si mechi za awali walikuwa wakishinda bila hao Pogba na Kante, leo wamezidiwa tuPengo la Pogba na Kante ni kubwa sana Sena Argentina wamecheza Kwa kujitoa sana France kama wamepigwa spana miguuni
Huyo jamaa kashapata sonona..🤣🤣🤣 relaaaax mkuu, mpira ni furaha.
Afadhali hata ndondo cup, hii sijui tuitejeMimi nilijua ndondo cup ya kufuzu
Shida ni udini umeingizwaFainali ya kombe la dunia inayo endelea hivi sasa nchini Qatari imekosa mvuto kabisaaa!!
haina hadhi ya kuitwa fainali.
Wamezidiwa mkuu hio ni dhahiriUyu kounde wakuchoma moto kabisa sjui kwanin Chelsea walikua wanamtaka
Kashoga akoWHRE IS MBAPPE?
Huoni au sio?France wanachukua tena back to back kwa sababu wana timu nzuri techinically kuliko Argentina.
Licha ya damu changa pia wana watu wa kuamua matokeo.
Siioni Argentina wakitoboa..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kunywa mbege
ASub ya Dimaria sijaielewa kabisa
Kumbe ni leoMwali ndiyo huyo ndani ya Louis Vuitton..
Shughuli iishe tu hii...
Viva [emoji1033]
Viva King Messi...View attachment 2451002
Tukubali tumezidiwa asiyekubali kushindwa si mshindaniMkuu si mechi za awali walikuwa wakishinda bila hao Pogba na Kante, leo wamezidiwa tu
Subr 2026 ntakujibuWhere is your Mbappe?