nG'aMBu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,055
- 3,120
Kabisa, dogo ni shidaHahahahahah ila Mbappe wewe ndio GOAT umekosa tu fame na fanbase ya kukusifia but ukweli unaonekanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, dogo ni shidaHahahahahah ila Mbappe wewe ndio GOAT umekosa tu fame na fanbase ya kukusifia but ukweli unaonekanaa
Hallelujah mama mchungaji [emoji120] Mungu atasikia kilio chetuBwana Yesu asifiwe.
Aisee nilikuwa nalia kila nikimuona Mbappe. Mungu atende leo jamani daah
EeeheeeKaa kwa kutulia nimeshawamaki
Niko hapa. Nilisema France anabeba ndooras jeff kapita uko wapii
Kama Yako ya kwanzaMnataka penati za kubebwa eeeh
tayari mabingwa wa dunia wamepindua meza.Akili zako tumezijua, kama France wangekuwa wanaongoza usingeshusha huu utopolo.
Muda si mrefu wanapigwa la tatu subiri uone.
NakaziaOtamendi otamend otamendi nakuita mara 3 hakikisha hili kombe tunabeba la sivyo utapata laaana timilifu ya kumyima kombe Messi
Argentina wameshindwa kulinda magoli yao.Nini hiki??
sana, sasa naona fainaliTumekusikia kilio chako, sasa mvuto nadhani utakuwa umerudi
What the hell
What the hell is going on..
Daah..mpira ndo maana naupenda sana aisee.
is going on..
Daah..mpira ndo maana naupenda sana aisee.
Big mistakeIle Sub Ya Dimaria ileeeeeèeee
Hata me naona au wape hizo mbili za France Argentina iwe Wana 4Akili zako tumezijua, kama France wangekuwa wanaongoza usingeshusha huu utopolo.
Muda si mrefu wanapigwa la tatu subiri uone.
Pia alimchelewesha sana kuingia sub sjui kwannCamavinga Alitakiwa Kuanza Sijui Kwanini Kocha Alimuacha Nje
Ufaransa tupoooo