Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hahahaha saivi bifu la na messi, saivi ronaldo amemwachia mdogo ake mbappe maana yeye hana upepo tena[emoji23][emoji23]
Mtaleta ukoo wenu mzima
Wala hakuna kitu kama hicho
  1. Mbape tayari yeye ana WC 2018
  2. Mbape anabeba kiatu cha dhahabu mashindano haya
  3. Mbape bado anazo mashindano ya kujidai mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…