Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Kiukwl anastahili kuwepo meza moja na Mabingwa wapyaa wa dunia.ni mdada anaonekana ana busara zakeee
ila akija sku hyo salamu ni vamooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooosssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssKiukwl anastahili kuwepo meza moja na Mabingwa wapyaa wa dunia.
Vamoooooooooos [emoji1033]
πππππβ¦. Sio kwako tu nahisi watu wengi leo tumepatwa na huu ugonjwaasante mkuu
salamu kwako pia
yani mwaka huu sijafa kwa presha sitakaa nife kwa presha. argentina alijua kutukimbizaaa
dahhh hongereniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
jiachieni
maana tunatawala dunia kwa miaka 4 kimichezooo
My pleasureWw utakuwepo asee bila ww binafs party haitaanza kwa heshima yako ya fair play uliyo onesha na kuongea kwako mpr kwa kubakisha maneno.. You deserve a place in the table where the the NEWWWWWWW reigning WORLD CUP CHAMPIONS LA ALBICELESTE will be partying.
Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Ni sahihi ni kama de Maria alivyoanza final leo na kuonesha effect na makosa aliyafanya kocha kumtoaYah ni kweli ila si uliona mechi iliyofata hakuweza chochote
Ila ile mechi na moroco ilifaa aanze kwa ulijendi wake nchini
Anyway watu wana hulka tofauti tofauti
πππ pole sanaSishabikii tena mtu mm
.. Sijawahi angaika kama leo mimi kisa Messi lakini mwisho tumeshinda ila safi...
Goodbye fellow fans
hahahahahahahahahahahahahahahhahahaha nimekumbuka ile sikuu na ndo siku brazil walitolewa........... hadi leo Depal tunapitana kama paka na panya.....Ila mpira bwana una mambo mengi sana unaweza jikuta umetoka nje ya mstarii..kuna siku Nakadori sijui ulipanick nini tukakushukia kama mwewe...but mambo yaliisha ukabaki na Argentina yako leo mmechukua ubingwa...kwakweli ulisimama kidete sana nadhani kuitetea na kuiombea...unafanya kama mm inapokuja ishu ya Simba.hahaha
Vamooooooooooooooooos
Naam naamNi sahihi ni kama de Maria alivyoanza final leo na kuonesha effect na makosa aliyafanya kocha kumtoa
hali ilikuwaje pale ambapo goli zilipokuwa zinarudii?Sishabikii tena mtu mm
.. Sijawahi angaika kama leo mimi kisa Messi lakini mwisho tumeshinda ila safi...
Goodbye fellow fans
Tena ilo ndo akumbuke maana navowajua hawa K4S security asiposema tu VAMOOOOOOOOOOOOOS watambeba juu juu kama mamluki[emoji23] kumbe mgen wetu wa muhm.ila akija sku hyo salamu ni vamooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooosssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
πππππ
Kila sehem nayo enda kelele nikakimbilia nnje ya mjiπ€£π€£π€£π€£ kilimanihali ilikuwaje pale ambapo goli zilipokuwa zinarudii?
Yani inamaana unataka kunambia mechi iliisha na Depal bado mnapishana jukwaanii aaaah bwanaa hahaa..mtakutana EPL basi mtabonga...mie huko hunikuti. Auna ww ndo shabiki wa Wedi kapu tuu.hahahahahahahahahahahahahahahhahahaha nimekumbuka ile sikuu na ndo siku brazil walitolewa........... hadi leo Depal tunapitana kama paka na panya.....
world cup imenipatia marafiki aseee
nina zawadi nimeahidiwa kwa ajili ya ushindi wa argentina kutoka kwa member humu shabiki wa argentina
Acheni post ujingaUyu jamaa utabiri wake unaenda kutimia siku ya Leo, mwaka 2015 aliweza kutabiri kombe la dunia kuchezwa December 2022, na messi anaenda kuwa GOATView attachment 2450728
Uyu jamaa utabiri wake unaenda kutimia siku ya Leo, mwaka 2015 aliweza kutabiri kombe la dunia kuchezwa December 2022, na messi anaenda kuwa GOATView attachment 2450728