Mi ni mfuasi wa Papa Fransisco muajentina..hyo kwetu ni kama mamboTena ilo ndo akumbuke maana navowajua hawa K4S security asiposema tu VAMOOOOOOOOOOOOOS watambeba juu juu kama mamluki[emoji23] kumbe mgen wetu wa muhm.
Asee Kalpana ukifika tu mlangoni Sema neno..
VAMOOOOOOOOOOOOOOOOOOS tena kwa capital letters vinginevyo hautaingia ndan.
VAMOOOOOOOOOOS NEWWWWWWW REIGNING WORLD CUP CHAMPIONS LA ALBICELESTE [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Asipoenda La liga mapema hii atabakia kuwa kama kina ibrahimovic na lewandoskiHongera Messi na Argentina, Mbappe is the next goat
Utabiri upi mbona Kuna mwamba alishawah tabiri mwaka 2010 ndio utakua mwisho Wa Dunia ila nin kilitokea badaa ya 2010 ndio kwanza watu tunazidi kuzaliana Kwa Kasi kwahyo usijitoe ufahamu France ndio bingwa wa Dunia mwaka 2022
kocha wa argentina leo amelia
unajua kila mtu akiwaza zile fedheha za saudi kwa messi na kulinganisha na huu ushindi ndo hasira za furaha zinaziidiiiiii nasemaaaaaa acgeni tujiachie bwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
where is saudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
where is ronaldoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Huyu bwa mdogo kila weekend anaingiza bilioni TSh24,980,099,219
He was herekocha wa argentina leo amelia
unajua kila mtu akiwaza zile fedheha za saudi kwa messi na kulinganisha na huu ushindi ndo hasira za furaha zinaziidiiiiii nasemaaaaaa acgeni tujiachie bwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
where is saudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
where is ronaldoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
me mpira wangu worldcup tuuuYani inamaana unataka kunambia mechi iliisha na Depal bado mnapishana jukwaanii aaaah bwanaa hahaa..mtakutana EPL basi mtabonga...mie huko hunikuti. Auna ww ndo shabiki wa Wedi kapu tuu.
Tunapitia risiti mbalimbali π¦π·π¦π·π¦π·Tuko tyr kupambana kwa jasho na damu.. Asee kitaeleweka hata kwa kufia uwanjan ndoo tunarud nayo nyumbani. [emoji1033]
yaniiiiiiiHe was hereView attachment 2451289
demba kuna party ya champions og since day 1 au na wewe shabiki wa plastic?Tunapitia risiti mbalimbali π¦π·π¦π·π¦π·
Huo mkuyenge umeponea kwenye tundu la sindanoV
VP mkuu
ππ½ππ½The one and only DIBU[emoji1487]
View attachment 2451291
Mhhh yaishe yapi mbona mi sikua nayo?? Zile mambo ni kawaida ukiwa mchezoni..mbona mm nagombanaga na watu mwanzo mwisho inategemea na mtu anakujaje baada ya hapo mambo yakua pouwaaa..mpira umeisha tukutane majukwa mengine wale wa simba na yanga turudi zetu nyumbani kumenoga.me mpira wangu worldcup tuuu
halafu ile siku me nlikuwa brazil vizuri tu maana huwa namkubali sana neymar (as alikuwa barc na messi by then) sasa akatokea mdada akasema kwakuwa wamefungwa team nyingine anahamia brazil ndo me nkaandika jaman kumaanisha hajiamini. ndo mkaanza kunizodoa mkizani niko team pinzani. asee nilipanik nikahama na team nikawa naombea mfungwe. ila deep down nlikuwa mwenzenu. ndo maana nkamuuliza depal kwamba namuona mjanja kumbe hana reseach....before nlishapost kwamba niko brazil kwa ile mechi.
anywayssss
huwa sijawahi gombana na mjf zaidi ya kuwa na marafiki..... sina lolote moyoni yalishaisha. naomba na nyie myafute.
vamosssssssssssssssssssssssssssssssssss