vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Ulitaka wamweke giroud [emoji16]
Hiyo ni LAZIMA,kachek page ya FIFA insta imejaa PESSI tu kuna namna hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni LAZIMA,kachek page ya FIFA insta imejaa PESSI tu kuna namna hapo
Amka utajikojolea
Nipo Na Ufaransa Kwasababu Ya Ronaldo Mapenzi Yangu kwa Ronaldo Hayataisha Leo Wala Kesho.
Ndo tunatoka hotelini now[emoji1073][emoji1073][emoji1073]
Mbappe ananyanyua kwapa leo!
Leo nataka kubeti kwa mara ya kwanza.. ila nataka nibeti kwa Argetina kuchukua wordcup. Je inawezekana kubet atakae nyanyua ndoo.. na sio betting ya magoli au ft yaani nataka nibet kwa atakae beba ndoo.. either by ft, extra time au penalties
Jaman football is beautiful,ni tamu,meeeen kweli mnafaidi.As we come to an end(of WC),I personally would like to thank kila mmoja wenu humu kwenye huu uzi kwa upendo wenu.
Nimejifunza vingi abt football,cnt wait for EPL.
Tumemaliza Novena leo tukiongozwa na Pop Francis kuiombea nchi yetu ya Argentina..hivyo ushindi upo miguuni....wale Brazili masalia tukutane huku kombe lirudi America.. [emoji3] [emoji3]
26 appearance bla WC trophy what a shame
Back 2 backView attachment 2450836
Ufaransa ndio mabingwa... bendera chuma mlingoti chuma
Team France tujuaneee
Yaaan mashabiki wa argentina ni wengi sana uwanjani kama vile wameshajua kombe wanachukua, hivi watu wanaichukulia poa francee eeh, leo ndio mtaona mpira wa kibabe,... maana france, wana nguvu sio mchezo
Hadi Dr. Leak kakubali kwamba ufaransa wanachukua, japo anasema alipenda argentina wachukue, and, sababu ni kasi ya washambuliaji
Huyu ni mchambuzi mahili wa mipira ya kimataifa....yupo hapo TBC1 usimchukulie poa. Mara nyingi alikuwa akibet anakula mechi nyingi tu hadi wahindi wanamkimbia...
Tuliza tako hapo , ujue nani anapigwa leo
Argentina inapigwa kama ngoma leo
Wachambuzi wa Dstv wanaipa Argentina ila mkongwe wa wa Tbc dr Leakey ameipa France.