Kipa wa saudiMechi ya Argentina vs Saudi Arabia nani amekua Man of the match?
Keeper wa Saudia katishaaaaaaaaaaaMechi ya Argentina vs Saudi Arabia nani amekua Man of the match?
Keeper wa Saudia katishaaaaaaaaaaa
Anadaka hadi kivuli [emoji1787]Kipa kama jini[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakurekebisha haikua Uswizi ilikua ChileMwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
Unabet🙆🙆🙆Mikeka miwili, mmoja wa 1.5 over umechana, mmoja wa 1X upo hai, hopefully France atashinda, Mexico atatoa 1.5 over ili kesho niamke na uchangamfu😀
Na pande hizo wamepita?Dah wamesybiri game ianze ndio wakate😔
Utakuwa umekatika mikoa mingiNa pande hizo wamepita?
Nilijua huku tu
Why, TBC hawaoneshi?Tumekosa uhondo wa game hii ya saa 1
TBC hawana kibari cha kuonyesha game zote. Kwa siku wanaonesha 1 au 2 hivi.Why, TBC hawaoneshi?
Saa 4 boss.Game ya ufaransa saa ngapi wakuuu