kwenye PR wamnefeli aisee, hii world cup wataudhi watu wengi sana
Ndio, tena responsibly. Leo tu kuna faida ya 50k na bado mkeka mmoja wa usiku upo, nataka nikakununulie four cousins love😀😀Unabet🙆🙆🙆
Mkuu inaonekana matumizi ni makubwa ...sema jana hapa walitisha walikata saaa moja wakarudisha saa saba dk 4 wakakata mpka kumi na mojakwenye PR wamnefeli aisee, hii world cup wataudhi watu wengi sana
🤣🤣🤣🤣Ndio, tena responsibly. Leo tu kuna faida ya 50k na bado mkeka mmoja wa usiku upo, nataka nikakununulie four cousins love😀😀
Yewooomi🙆🙆🙆Ndio, tena responsibly. Leo tu kuna faida ya 50k na bado mkeka mmoja wa usiku upo, nataka nikakununulie four cousins love😀😀
Wanawindana tu hamna jipyaNo updates?
0-0 sema mechi ilikuwa ya mchana ...No updates?
Haya basi fanya nikutumie hii faida ya leo ukanywe soda kesho. Au hela za kubet ni dhambi?😀😀Yewooomi🙆🙆🙆
Sitaki.
Nimezisikia sifa zake za kutukuka0-0 sema mechi ilikuwa ya mchana ...
0-0No updates?
Bado ya saa nne mzee baba...ufaransa0-0 sema mechi ilikuwa ya mchana ...
Hawa wanajichanganya. Wanasema kuna upungufu wa maji lakini wanatengeneza mtambo wa megawati 50 wa Kidatu. Sasa wanautengeneza ili wakazalishe umeme kwa maji yapi wakati wanadai Kidatu kuna upungufu wa maji? Au wanatengeneza wakauweke wasubiri mvua za Masika?
Sio ya kukosaa mkuuBado ya saa nne mzee baba...ufaransa