Janja janja na kutafuta njia ya kupiga hela za walipa kodi statement haipo clear imekaa kama kuna mtu anapagwa😳😅Hawa wanajichanganya. Wanasema kuna upungufu wa maji lakini wanatengeneza mtambo wa megawati 50 wa Kidatu. Sasa wanautengeneza ili wakazalishe umeme kwa maji yapi wakati wanadai Kidatu kuna upungufu wa maji?
Njia ya mwongo ni fupi sana. Tanesco waache siasa na uongo
Mzee bb Guillermo Ochoa [emoji91].. Yy uwa anasbr WC tu afanye saves.Penalty saved
Yani wanaboa hao tanesco hawajui tuTanesco kafakisha
Sista ilikua dhulma ileMmh huyo Lewa naemjua mimi au? Kakosaje kosaje
Huyo huyooMmh huyo Lewa naemjua mimi au? Kakosaje kosaje
Sana yeye na yule wa Swiss .Ochoa ni moja kati ya makipa bora sana
Na hivyo hatuoni huku basi sawaaa tunakubaliSista ilikua dhulma ile
HahahaahHuyo huyoo
Tutanyumbulika vipi mzeya maishanyenyewe tunaishi kimkanda mkanda bei za mboga zinapanda🤣🤣🤣🤣🤣Wachezaji wako rigid
Sijui kwann weusi wa timu za ulaya nawaona kama ni wepesi wa africa wazito hawanyumbuliki