Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
Tutakumiss jmn,kila la heri uendako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakumiss jmn,kila la heri uendako.
Pia tunaleta siasa kwenye kazi. Oh wachezaji wanalaswa kuwa wazalendo huku haki zao hatuwapi alafu unategemea mtu kujituma.Pale akili iliyotumika ni ya Didier Deschamps - Mzungu, na Uwanjani pia Whites walikuwepo
Hakuna Kocha mweusi kawahi kuifikisha timu hata quarter au half final ya WC....mwenye mafanikio zaidi ni Cisse tu na AFCON ya mwaka jana aliwazidi Waarabu akili![]()
Ni kweli Blacks tumejaliwa Physical strength na speed ila Cognitively POOR tangu enzi
Wale wa kubet mpe
Hahah, kirahisi namna hiyo? We Anne kaa kwa utulivu asee!! Hili kombe ukitaka kuumia weka direct win, utakufwaaa!!Wale wa kubet mpe
Cameroon
Serbia
Uruguay
Na ureno
Weka hizoHahah, kirahisi namna hiyo? We Anne kaa kwa utulivu asee!! Hili kombe ukitaka kuumia weka direct win, utakufwaaa!!
Daaa!! Jamaa katoka na ukumbusho wa wc
Ungekuwa unabeti usingetoa ushauri kama hyo, Serbia akitoa hata droo nipo nimekataa pale japokuwa mpira unadunda lakini waga haudundi kwenye topeWale wa kubet mpe
Cameroon
Serbia
Uruguay
Na ureno
“Mpira haudundi kwenye tope “ 🤣Ungekuwa unabeti usingetoa ushauri kama hyo, Serbia akitoa hata droo nipo nimekataa pale japokuwa mpira unadunda lakini waga haudundi kwenye tope
Huyo tutamficha kwenye dustbin, hyo kazi atapewa pepe au DiazGhana wana mtoto wao anaitwa Mohamed kudus ni fundi kinoma ancheza ajax ya uholanzi atawasumbua sana wareno
Ni tope mkuu kwani we unadhani tope lipi 🤔🤔“Mpira haudundi kwenye tope “ 🤣
Mkuu inaelekea tumezaliwa siku moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe ni Mimi Kabisaa!
Uliniona wapi nikinywa bia we mtoto? Sijawahi bia mimi...ila hapo unatuingiza chaka wakamaria[emoji3]Weka hizo
Utapata za bia[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uliniona wapi nikinywa bia we mtoto? Sijawahi bia mimi...ila hapo unatuingiza chaka wakamaria[emoji3]
Mkuu umenichekesha Sana na hii comment [emoji1][emoji1]Jordi Alba wewe mwenzako ana familia