vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
[emoji23][emoji23][emoji23]Waafrika tujiandae sasa kupoteza mechi nyingine.
Msijifaliji hii Ghana Ata somalia haiwafungui ngoja tuwape ukweli tu japo mechi ya mwisho kati ya ureno na Ghana mwaka 2014 kweny kombe la Dunia Ghana alikufa mbili moja Ghana ndio timu mbovu kushiriki kombe la Dunia kutoka Africa
Dadangu hizi points tunaziachia tu zote si uongo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Na babu yao RonadoHiko kikosi cha ureno hakitishi
Ngoja tumuoneGhana mkuu🤣🤣
Huku wametuachiaYani game inataka kuanza tu, washenzi TANESCO wameshafanya yao. Aisee.
Yani hawa jamaa ni total useless.Huku wametuachia
Samia nasikia yuko