Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mabingwa wa Ulaya, Italy ni moja ya mataifa makubwa yatakayokosekana katika fainali za mwaka huu.

Timu nyingine zitakazokosekana ni wahuni wa Chile. Kile kizazi chao cha dhahabu kilichochukua ubingwa wa Copa America back to back kimefika ukingoni.

Pia Urusi haipo kutokana na mgogoro wake na Ukraine.
 
Kwa haya makundi kweli africa tutatoboa ata last 16? Kama hawa tunisia ndio sina imani nayo kabisa
 
Kuna kasumba kwamba wenyeji mechi ya kwanza huwa hawapotezi je kwa qatar itawezekana.

Hawa jamaa wameingia moja kwa moja hivi kikosi cha mashindano kweli wanacho wanakutana na equador wasije kupigwa 7 bila mechi ya ufunguzi 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…