Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Watu wanaposema afif mchezaji mzuri wanakosea wasema mchezaji wa kawaida

Hizi back pass hizi ndio zinampq ubora?
 
Hii mechi ameonyesha utanzania wake yeye na benjamin asukule hamna tofauti
Mi hata wasingeniambia kuwa huyu ni mtanzania, kupitia tu aina hii ya uchezaji ningeweza kuunganisha dot

Asili huwa haijifichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…