Anapoza sana moves.Huyu refa anazingua sana
Kodi ya wananchi inatumika ipasavyoGeorge Weah naona kaamua amuangalie Mwanae mechi zote
Watalala hoiKwa jinsi mambo yanafanyika hapa uwanjani naona kabisa kuwa England ndio wanaoombea mpira uishe
Sio Maguire tu.. ulimuona Fred jana na Casemiro... jamaa timu za taifa wanauwasha haswaaHmh huyu Maguire huyu[emoji91][emoji23]
Kwani Liberia nayo IPO kombe LA Dunia?George Weah naona kaamua amuangalie Mwanae mechi zote
Nawe kwa kushabikia vibovu, haujamboTeam Iran tupo hii ndio team yangu
Mwanae yupo USA.Kwani Liberia nayo IPO kombe LA Dunia?