Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Ivi kuna uwezekano wowote wa Argentina kupita kwenda kwenye 16 bora atakama akishinda mechi zote ?
Ndio anapita kama akishinda mechi hizo mbili zilizobaki


Hata saudia anafuzu akishinda mechi yake ya mwisho

Kumbuka haiwezekani timu zaidi ya mbili zote kuwa na point sita katika kundi
 
Ivi kuna uwezekano wowote wa Argentina kupita kwenda kwenye 16 bora atakama akishinda mechi zote ?
Hakuna uwezekano na kwa Mexico hapiti hata kidogo leo lazima alale mbili bila na huo ndio mwisho wake maana ana point 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…