UTABIRI WA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA...
Baada ya kusikiliza na kufuatilia wachambuzi wa soccer wakubwa duniani wa kwenye media kama BBC, SKYSPORT wakitabiri matokeo ya kombe la dunia mwaka huu Qatar nimekuja na hitimisho kama ifuatavyo
Timu zinatabiriwa kuchukua kombe la dunia ni 👇
1.BRAZIL
2.ARGENTINA
3.FRANCE
4.GERMANY
Kiukweli 😀😀kwa kikosi walichonacho Brazil chenye world class players washindwe wao tu maana wapo kundi rahisi sana tena zaidi ya kundi la Argentina na ndo maana wanapewa nafasi kubwa kutwaa kombe la dunia mwaka huu , wakifuatiwa na Argentina ambao nao wapo kundi zuri sana na ndo muda wa Messi kuthibitisha ni mchezaji bora wa dunia.
Timu zinazoweza kumaliza hatua ya makundi kwa kushinda mechi zote ni 👇
1.Brazil
2.Argentina
Timu ambazo ni dhaifu na wanaweza kuondoka bila point au na point 1 na watu watajipigia mi naziita underdogs 👇
1.Iran
2.Saudi Arabia
3.Qatar
Timu Kutoka Africa ambayo ni pekee itafika hatua ya makundi ni 👇
1. SENEGAL
Wafungaji Bora wa Kombe la Dunia ni 👇
1.Messi
2.Neymar
3.Mbappe
Na napenda kuwapa matokeo ya mechi za kadhaa tu za hatua ya makundi
1. Belgium vs Canada
Atashinda Belgium
2.Brazil vs Serbia
Atashinda Brazil
3.Portugal vs Ghana
Atashinda Portugal
4.Senegal vs Netherlands
Atashinda Netherlands
5.England vs Iran
Atashinda England
6.Argentina na Saudi Arabia
Atashinda Argentina
7.France vs Australia
Atashinda France
8.Spain vs Costa Rica
Atashinda Spain