Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

UTABIRI WA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA...

Baada ya kusikiliza na kufuatilia wachambuzi wa soccer wakubwa duniani wa kwenye media kama BBC, SKYSPORT wakitabiri matokeo ya kombe la dunia mwaka huu Qatar nimekuja na hitimisho kama ifuatavyo

Timu zinatabiriwa kuchukua kombe la dunia ni 👇

1.BRAZIL
2.ARGENTINA
3.FRANCE
4.GERMANY

Kiukweli 😀😀kwa kikosi walichonacho Brazil chenye world class players washindwe wao tu maana wapo kundi rahisi sana tena zaidi ya kundi la Argentina na ndo maana wanapewa nafasi kubwa kutwaa kombe la dunia mwaka huu , wakifuatiwa na Argentina ambao nao wapo kundi zuri sana na ndo muda wa Messi kuthibitisha ni mchezaji bora wa dunia.

Timu zinazoweza kumaliza hatua ya makundi kwa kushinda mechi zote ni 👇

1.Brazil
2.Argentina

Timu ambazo ni dhaifu na wanaweza kuondoka bila point au na point 1 na watu watajipigia mi naziita underdogs 👇

1.Iran
2.Saudi Arabia
3.Qatar

Timu Kutoka Africa ambayo ni pekee itafika hatua ya makundi ni 👇

1. SENEGAL

Wafungaji Bora wa Kombe la Dunia ni 👇

1.Messi
2.Neymar
3.Mbappe

Na napenda kuwapa matokeo ya mechi za kadhaa tu za hatua ya makundi

1. Belgium vs Canada
Atashinda Belgium

2.Brazil vs Serbia
Atashinda Brazil

3.Portugal vs Ghana
Atashinda Portugal

4.Senegal vs Netherlands
Atashinda Netherlands

5.England vs Iran
Atashinda England

6.Argentina na Saudi Arabia
Atashinda Argentina

7.France vs Australia
Atashinda France

8.Spain vs Costa Rica
Atashinda Spain
Portugal kwanini hapewi advantage ya kutwaa ndoo?

Ronaldo anataka kufunga mahesabu kwenye soka endapo atafanikiwa kunyakua hili kombe
 
Back
Top Bottom