mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Pongezi kwa watu wa graphics, sio la kitoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kumedamshi?The way I feel ni kama niko Qatar 😆
Portugal kwanini hapewi advantage ya kutwaa ndoo?UTABIRI WA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA...
Baada ya kusikiliza na kufuatilia wachambuzi wa soccer wakubwa duniani wa kwenye media kama BBC, SKYSPORT wakitabiri matokeo ya kombe la dunia mwaka huu Qatar nimekuja na hitimisho kama ifuatavyo
Timu zinatabiriwa kuchukua kombe la dunia ni 👇
1.BRAZIL
2.ARGENTINA
3.FRANCE
4.GERMANY
Kiukweli 😀😀kwa kikosi walichonacho Brazil chenye world class players washindwe wao tu maana wapo kundi rahisi sana tena zaidi ya kundi la Argentina na ndo maana wanapewa nafasi kubwa kutwaa kombe la dunia mwaka huu , wakifuatiwa na Argentina ambao nao wapo kundi zuri sana na ndo muda wa Messi kuthibitisha ni mchezaji bora wa dunia.
Timu zinazoweza kumaliza hatua ya makundi kwa kushinda mechi zote ni 👇
1.Brazil
2.Argentina
Timu ambazo ni dhaifu na wanaweza kuondoka bila point au na point 1 na watu watajipigia mi naziita underdogs 👇
1.Iran
2.Saudi Arabia
3.Qatar
Timu Kutoka Africa ambayo ni pekee itafika hatua ya makundi ni 👇
1. SENEGAL
Wafungaji Bora wa Kombe la Dunia ni 👇
1.Messi
2.Neymar
3.Mbappe
Na napenda kuwapa matokeo ya mechi za kadhaa tu za hatua ya makundi
1. Belgium vs Canada
Atashinda Belgium
2.Brazil vs Serbia
Atashinda Brazil
3.Portugal vs Ghana
Atashinda Portugal
4.Senegal vs Netherlands
Atashinda Netherlands
5.England vs Iran
Atashinda England
6.Argentina na Saudi Arabia
Atashinda Argentina
7.France vs Australia
Atashinda France
8.Spain vs Costa Rica
Atashinda Spain
World cup CENTRAL ama vpWala mkuu
Ni vile huna access na 222 ndo maana unaona ile ndo HD 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 afu sauti iko juu
223 DSTV so clear
Na huko ndipo Mwigulu alipoYes mchawi bando
Acha kabisa Sauti ya ki HDMorgan ana sauti ya mamlaka
Nataraji michuano ya safari hii itakua bora zaidi ya iliyopita.
Hii kutopewa nafasi hata haituumizi Portugal mwaka huu tuna jambo letu na bila kupepesa macho tunabeba hii ndooPortugal kwanini hapewi advantage ya kutwaa ndoo?
Ronaldo anataka kufunga mahesabu kwenye soka endapo atafanikiwa kunyakua hili kombe