Hii nitaangalia bila stress. Hope itakuwa tamu. Though ninatamani Argentina atoke. Hii tu kwa sababu round ya pili France anaweza kutana na Argentina.
Wanaona wakaka wa watu wako wacuteeeMwaka huu mtaona ubishoo wao ni vile wanajipenda tuu ila miguuni ni wagumu wanakimbiza mpira hatari
Mhhh si tulikubaliana timu Brazoo au ArgentooMbona muda tu nimo Ufaransa π€£π€£
Kuna ma babes wangu wengi sanaaa
Mbappe
Griezman
Giroud.. our former chelsea player
Dembele π
Tena asulubiweeeeeArgentina apigweee
Tutaondoka na tabasamu kaliii kama la huyu dada wa dstv
Piga kenge haooooSIJAWAHI PENDA VITU VINAVYOPENDWA NA WENGI MEXICO TOA UYU MESI[emoji3577]
Kumbe wanapaka mpk lipshine kweli watanashati hahaaaWanaona wakaka wa watu wako wacuteee
Watraaaam
Lips wanapaka vaseline lip therapy
Maskio,, sisemi
Ndo wanawasagia kuwaita mabitoz
Tulia hapo kwanza π€£π€£π€£Mhhh si tulikubaliana timu Brazoo au Argentoo
Basi sawaa pamoja sanaTulia hapo kwanza π€£π€£π€£
Brazoo kama kawaidaa
Gentina 50/50 π€£π€£π€£
Nitaongea na FIFA wawe wanatuweka kundi moja waafricaGeography inasema bara la amerika kusini lilimeguka ubavuni mwa Afrika so sisi kama waafrika hatuna budi kuwasupport Argentina maana ni wa ubavu wetu
Tbc wataonyesha hii?SIJAWAHI PENDA VITU VINAVYOPENDWA NA WENGI MEXICO TOA UYU MESI[emoji3577]
Argentina apigweee
Hata Mexico weusi wapo wengi tu,Geography inasema bara la amerika kusini lilimeguka ubavuni mwa Afrika so sisi kama waafrika hatuna budi kuwasupport Argentina maana ni wa ubavu wetu
πππ Pila Ngada tena π€£Pila madawa ya kulevya pila mabunduki pila magereza pila Mexicana lacaleva [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
VIVA MEXICO [emoji1166][emoji1166][emoji1166][emoji1166][emoji1166]
Hawaonyeshi hadi kesho saa 4:00 Usiku gemu ya Spain v Germany, TBC wanatangaza tuTbc wataonyesha hii?