Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

#team Messi wote pigeni kelele!
20221127_001208.jpg
 
We nae husomeki kama K...mtu akiinama ipo kwa nyuma... akisimama ipo kwa mbele. Wewe si ulikuwa unaikandia arg wee?? Au kwakuwa amefunga? Kweli pata mafanikio uwajue watu🤣🤣😍
Jamani kumbe unajua kabisa kuwa k kila mkao inaonekana 🤣🤣🤣🤣 kwa lerformance ile hamna world cp winner hapo tusidanganyane.
 
Argentina Messi akiwemo haijatutendea haki mashabiki wake kwenye kombe hili.

Speed hawana sjui ni uzee... yani Messi akikamata mpira hafiki nao popote ashapokonywa tofauti na France yani mbape pampja na kukbwa na maadui 3 pande zote bado akiukamata mpira anahakikisha anatoboa hadi kwenye 18 ibaki tu kumalizia.
Kuna style ya uchezaji naiona sana kwa France nao wanaijaribu ila bila umakini na kupoteza mpira...
Washashinda, lala kwa amani sasa
 
Kama naiona Yanga inavyochukua ubingwa na anaebisha abishe, Ninapozungumzia Yanga ninamaana Brazil maana tofauti ya Brazil na Yanga ni #Bukta tu 😀😀😀. Kura yangu nampa Brazil
 
Back
Top Bottom