OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mpira dkk 90 ila kwa Poland Ajentina anakalishwa mapema. Ukicheki Saudi’s leo kaupiga mwingi kamzid kila kitu Poland Ila ndio ivyo tena uzoefu umewabeba Poland. Ivyo na Imani game ya mwisho Saudi’s atampiga MehicoMpira 90 na zile 10 za FIFA mkuu
Tusitumie mate wakati kalamu zipo
Jamani kumbe unajua kabisa kuwa k kila mkao inaonekana 🤣🤣🤣🤣 kwa lerformance ile hamna world cp winner hapo tusidanganyane.We nae husomeki kama K...mtu akiinama ipo kwa nyuma... akisimama ipo kwa mbele. Wewe si ulikuwa unaikandia arg wee?? Au kwakuwa amefunga? Kweli pata mafanikio uwajue watu🤣🤣😍
Washashinda, lala kwa amani sasaArgentina Messi akiwemo haijatutendea haki mashabiki wake kwenye kombe hili.
Speed hawana sjui ni uzee... yani Messi akikamata mpira hafiki nao popote ashapokonywa tofauti na France yani mbape pampja na kukbwa na maadui 3 pande zote bado akiukamata mpira anahakikisha anatoboa hadi kwenye 18 ibaki tu kumalizia.
Kuna style ya uchezaji naiona sana kwa France nao wanaijaribu ila bila umakini na kupoteza mpira...
Acha kutujazia seva we mahabuba wa Miss [emoji57]#team Messi wote pigeni kelele!View attachment 2428558
Usiku mwemaHata Ronaldo anafurahia Argentina kushinda maana bila Messi kwenye hili kombe la Dunia ni kama ligi kuu bila Simba.
Yeah nina amani sasaWashashinda, lala kwa amani sasa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jobless upo na huku
Messi bye bye.Mpira dkk 90 ila kwa Poland Ajentina anakalishwa mapema. Ukicheki Saudi’s leo kaupiga mwingi kamzid kila kitu Poland Ila ndio ivyo tena uzoefu umewabeba Poland. Ivyo na Imani game ya mwisho Saudi’s atampiga Mehico
Hata huyo m Poland anapigwa tu...si tuko hapa mkuuEndeleeni kujifariji na mikeka yenu, mmepiga bomu mochwari kwa timu isiyokuw na makali kabisa mbele kama Makolokolo FC [emoji16]
Hehehe K haina mkao wa kudumu siyo 🤣🤣🤣🤣We nae husomeki kama K...mtu akiinama ipo kwa nyuma... akisimama ipo kwa mbele. Wewe si ulikuwa unaikandia arg wee?? Au kwakuwa amefunga? Kweli pata mafanikio uwajue watu🤣🤣😍
Burazili anapigwa qota fainoKama naiona Yanga inavyochukua ubingwa na anaebisha abishe, Ninapozungumzia Yanga ninamaana Brazil maana tofauti ya Brazil na Yanga ni #Bukta tu 😀😀😀. Kura yangu nampa Brazil
Naitunza hii akiba maana mpira huchezwa uwanjani wala si mdomoni...[emoji143]Hata huyo m Poland anapigwa tu...si tuko hapa mkuu
Ndio yenyeweHii ndo Argentina tuliyoambiwa itabeba kombe la dunia au tusubiri nyingine?
Nitakuja kukukumbushaNaitunza hii akiba maana mpira huchezwa uwanjani wala si mdomoni...[emoji143]