Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kila mtu ana nafasi yake lakini kwa kigezo kimoja iko kumlinganisha mbape na yule mzee(messi) ni kama insults, yule ni legend apewe heshima yake na alivyovifanya vipo ambavyo kamwe mbape hatofanya, kama vile

Goli 51 kwa msimu mmoja la liga
Goli 91 kwa mwaka
Even being a greatest of the all time
Balloon d or saba
Pia kumbuka hata yeye sio center striker kama mbape ila he can score, dribble, assist, free kick
Haya tayari akiwa 23 alikuwa na balloon d or mbili ila mbape ndio hivyo tena

Pia usisahau kwa ubora wa national team France ipo vizuri sana kuliko Argentina so kwa vile mbape ni mchezaji mzuri inamsaidia kufanya vizuri zaidi, have you ever imagined messi angekuwa Spain? Au hata hapo France??? Bila shaka namba zake zingekuwa juu zaidi

Pindi wanachukua copa America, messi alihusika kwenye kila goli walilofunga Argentina, kama hakufunga yeye basi Ali assist, alikuwa man of the match game za kutosha pia alikuwa ndio mfungaji bora na mchezaji bora unaweza ona anavyotegemewa na wale vibonde wa Argentina na anavyoibeba kuliko hata mbape anavyotegemewa France naweza sema

All in all mbape ni talented kama alivyo messi na ni bora sana sema ndivyo hivyo lazima tuzidiane ili maisha yaendee

Ngoja niongezee mkuu Mr Leo [emoji1427] ili kumuelewesha vizuri huyu kijana anayemfananisha “Ninja Turtle” na “La Pulga”.

Ni haram kumfananisha Mbappe na Messi kisa Magoli 7 ya Mbappe in 2 WC na 1 WC trophy in store…..

Ni sawa na kumlinganisha mwanafunzi mkali wa Maarifa ya Jamii n mkali overall wa masomo yote [emoji28].

Mbappe is still a promising talent, yaani ndio he is about to do, well,he is trying to do what Messi has already done and still doing in this beautiful game.

Les Bleus wakimkosa Mbappe, team haitashake to be remarkable kwamba itakosa balance, ila Argentina ikimkosa Messi ni sawa na sisi Simba bila Chama [emoji1],pengo litaonekana, Impact ya Messi ni kubwa sana kwa Argentina kuliko ya Mbappe kwa France.

Mfumo wa Ufaransa kuwarahisishia players with other origins with French nationality kuwa sehemu ya mpira wao imewapa faida miaka yote,kihistoria ndio taifa la kwanza kuwatumia assimilated foreigners kwenye timu yao in WC.
Leo tunaona hata nchi zilizokuwa nadra sana kufanya hivyo nao wanafanya such as Germany, Spain, Italy etc.
Mfumo huu hutauona Argentina sijui miaka mingapi ijayo, Mbappe ana kila sababu ya kufanya aliyoyafanya na les Bleus ila hutayaona hayo ni lile li club lake PSG [emoji28],he chose money not legacy in the game, akwende kwa Los Blancos la liga halafu ndio mumlete kwa hizi comparison tena ni after years.
Hata Neymar aliyekuwa anatajwa kuwa nyuma ya two GOATS hasa hasa ni yule aliyekuwaga Barca na kutua PSG misimu ya mwanzoni ile,ila sio Neymar wa sasa wa PSG hajaisha la hasha , Neeymar wa Brazil ndio yuko nyuma ya the 2 Goats, Mbappe akisepa ligue 1 akwende EPL au La liga, atakuwa amechukua hatua za kusaka legacy ya Messi, ila kwa sasa loudly n confidentl speaking “WC stats hazimfanyi Mbappe kuwa kwenye mizani ya Messi”.


Messi is the legend.
 
Nimekudharau sana kumfananisha messi na uyo kijana kwasababu ya magoli ya kombe dunia
World Cup all time top scorers
  1. Miroslav Klose, Germany 16 goals
  2. Ronaldo Brazil 15 goals
  3. Gerd Müller Germany 14 goals
  4. Just Fontaine France 13 goals
  5. Pelé Brazil 12 goals
  6. Jürgen Klinsmann Germany 11 goals
  7. Sándor Kocsis Hungary 11 goals
  8. Gabriel Batistuta Argentina 10 goals
  9. Teófilo Cubillas Peru 10 goals
  10. Grzegorz Lato Poland 10 goals
  11. Gary Lineker England 10 goals
  12. Thomas Müller * Germany 10 goals
  13. Helmut Rahn Germany 10 goals
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wanakuja kuonekana kwenye nafasi ya 20+ na vigoli vyao vinane (8)
Labda wataongeza

Kylian Mbape tayari ana goli 7 akiwa na umri wa miaka 23 na kwa WC mbili tu
Kashamzidi Legend wa France Thienry Henry ambaye ana goli sita kwa WC 4

View attachment 2428625
 
Kila mtu ana nafasi yake lakini kwa kigezo kimoja iko kumlinganisha mbape na yule mzee(messi) ni kama insults, yule ni legend apewe heshima yake na alivyovifanya vipo ambavyo kamwe mbape hatofanya, kama vile

Goli 51 kwa msimu mmoja la liga
Goli 91 kwa mwaka
Even being a greatest of the all time
Balloon d or saba
Pia kumbuka hata yeye sio center striker kama mbape ila he can score, dribble, assist, free kick
Haya tayari akiwa 23 alikuwa na balloon d or mbili ila mbape ndio hivyo tena

Pia usisahau kwa ubora wa national team France ipo vizuri sana kuliko Argentina so kwa vile mbape ni mchezaji mzuri inamsaidia kufanya vizuri zaidi, have you ever imagined messi angekuwa Spain? Au hata hapo France??? Bila shaka namba zake zingekuwa juu zaidi

Pindi wanachukua copa America, messi alihusika kwenye kila goli walilofunga Argentina, kama hakufunga yeye basi Ali assist, alikuwa man of the match game za kutosha pia alikuwa ndio mfungaji bora na mchezaji bora unaweza ona anavyotegemewa na wale vibonde wa Argentina na anavyoibeba kuliko hata mbape anavyotegemewa France naweza sema

All in all mbape ni talented kama alivyo messi na ni bora sana sema ndivyo hivyo lazima tuzidiane ili maisha yaendee
Kweli kabisa
 
Kila mtu ana nafasi yake lakini kwa kigezo kimoja iko kumlinganisha mbape na yule mzee(messi) ni kama insults, yule ni legend apewe heshima yake na alivyovifanya vipo ambavyo kamwe mbape hatofanya, kama vile

Goli 51 kwa msimu mmoja la liga
Goli 91 kwa mwaka
Even being a greatest of the all time
Balloon d or saba
Pia kumbuka hata yeye sio center striker kama mbape ila he can score, dribble, assist, free kick
Haya tayari akiwa 23 alikuwa na balloon d or mbili ila mbape ndio hivyo tena

Pia usisahau kwa ubora wa national team France ipo vizuri sana kuliko Argentina so kwa vile mbape ni mchezaji mzuri inamsaidia kufanya vizuri zaidi, have you ever imagined messi angekuwa Spain? Au hata hapo France??? Bila shaka namba zake zingekuwa juu zaidi

Pindi wanachukua copa America, messi alihusika kwenye kila goli walilofunga Argentina, kama hakufunga yeye basi Ali assist, alikuwa man of the match game za kutosha pia alikuwa ndio mfungaji bora na mchezaji bora unaweza ona anavyotegemewa na wale vibonde wa Argentina na anavyoibeba kuliko hata mbape anavyotegemewa France naweza sema

All in all mbape ni talented kama alivyo messi na ni bora sana sema ndivyo hivyo lazima tuzidiane ili maisha yaendee
Tatizo nyie wafuasi wa Messi hua hamtaki mungu wenu aguswe
 
Kila mtu ana nafasi yake lakini kwa kigezo kimoja iko kumlinganisha mbape na yule mzee(messi) ni kama insults, yule ni legend apewe heshima yake na alivyovifanya vipo ambavyo kamwe mbape hatofanya, kama vile

Goli 51 kwa msimu mmoja la liga
Goli 91 kwa mwaka
Even being a greatest of the all time
Balloon d or saba
Pia kumbuka hata yeye sio center striker kama mbape ila he can score, dribble, assist, free kick
Haya tayari akiwa 23 alikuwa na balloon d or mbili ila mbape ndio hivyo tena

Pia usisahau kwa ubora wa national team France ipo vizuri sana kuliko Argentina so kwa vile mbape ni mchezaji mzuri inamsaidia kufanya vizuri zaidi, have you ever imagined messi angekuwa Spain? Au hata hapo France??? Bila shaka namba zake zingekuwa juu zaidi

Pindi wanachukua copa America, messi alihusika kwenye kila goli walilofunga Argentina, kama hakufunga yeye basi Ali assist, alikuwa man of the match game za kutosha pia alikuwa ndio mfungaji bora na mchezaji bora unaweza ona anavyotegemewa na wale vibonde wa Argentina na anavyoibeba kuliko hata mbape anavyotegemewa France naweza sema

All in all mbape ni talented kama alivyo messi na ni bora sana sema ndivyo hivyo lazima tuzidiane ili maisha yaendee
Thanks for this useful analysis
Messi is something else
 
FK21 soma hapo chini Raphinha analalamika mashabiki wa Brazil hawamuheshimu Neymar wala hawajastuka kutokuwepo kikosini.
IMG_20221127_093315.jpg


Utoto na ubitoz wa Neymar uwanjani ndio umesababisha vyote ndio maana mashabiki wanaona bora asiwepo maana kuna watu wanauchungu na world cup hawajawahi kucheza maisha mwao yote.
 
Kama mchezaji wako hana kombe la dunia ni Sawa na demu bila tako
Viva mbape
Viva Thomas Müller
 
Back
Top Bottom