Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022


Ngoja niongezee mkuu Mr Leo [emoji1427] ili kumuelewesha vizuri huyu kijana anayemfananisha “Ninja Turtle” na “La Pulga”.

Ni haram kumfananisha Mbappe na Messi kisa Magoli 7 ya Mbappe in 2 WC na 1 WC trophy in store…..

Ni sawa na kumlinganisha mwanafunzi mkali wa Maarifa ya Jamii n mkali overall wa masomo yote [emoji28].

Mbappe is still a promising talent, yaani ndio he is about to do, well,he is trying to do what Messi has already done and still doing in this beautiful game.

Les Bleus wakimkosa Mbappe, team haitashake to be remarkable kwamba itakosa balance, ila Argentina ikimkosa Messi ni sawa na sisi Simba bila Chama [emoji1],pengo litaonekana, Impact ya Messi ni kubwa sana kwa Argentina kuliko ya Mbappe kwa France.

Mfumo wa Ufaransa kuwarahisishia players with other origins with French nationality kuwa sehemu ya mpira wao imewapa faida miaka yote,kihistoria ndio taifa la kwanza kuwatumia assimilated foreigners kwenye timu yao in WC.
Leo tunaona hata nchi zilizokuwa nadra sana kufanya hivyo nao wanafanya such as Germany, Spain, Italy etc.
Mfumo huu hutauona Argentina sijui miaka mingapi ijayo, Mbappe ana kila sababu ya kufanya aliyoyafanya na les Bleus ila hutayaona hayo ni lile li club lake PSG [emoji28],he chose money not legacy in the game, akwende kwa Los Blancos la liga halafu ndio mumlete kwa hizi comparison tena ni after years.
Hata Neymar aliyekuwa anatajwa kuwa nyuma ya two GOATS hasa hasa ni yule aliyekuwaga Barca na kutua PSG misimu ya mwanzoni ile,ila sio Neymar wa sasa wa PSG hajaisha la hasha , Neeymar wa Brazil ndio yuko nyuma ya the 2 Goats, Mbappe akisepa ligue 1 akwende EPL au La liga, atakuwa amechukua hatua za kusaka legacy ya Messi, ila kwa sasa loudly n confidentl speaking “WC stats hazimfanyi Mbappe kuwa kwenye mizani ya Messi”.


Messi is the legend.
 
Nimekudharau sana kumfananisha messi na uyo kijana kwasababu ya magoli ya kombe dunia
 
Kweli kabisa
 
Tatizo nyie wafuasi wa Messi hua hamtaki mungu wenu aguswe
 
Thanks for this useful analysis
Messi is something else
 
FK21 soma hapo chini Raphinha analalamika mashabiki wa Brazil hawamuheshimu Neymar wala hawajastuka kutokuwepo kikosini.

Utoto na ubitoz wa Neymar uwanjani ndio umesababisha vyote ndio maana mashabiki wanaona bora asiwepo maana kuna watu wanauchungu na world cup hawajawahi kucheza maisha mwao yote.
 
Kama mchezaji wako hana kombe la dunia ni Sawa na demu bila tako
Viva mbape
Viva Thomas Müller
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…