Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

German ni timu ila sasa kwa hiki wanachofanya hapana siko lazi kuwashabikia mashoga

haya mashindano sio sehemu ya kupromote ushoga heri wafungwe; mashoga kabisa wabebe kombe
 
Masenge haya na leo Spain watawazibua mtaro warudi kwao wakakoboane vema.
 
Mimi ninachojua tu ni hili hata Messi afurukute namna gani hawatafika nusu fainali
Akifurukuta sana ni 16 bora
Huu mtanange safari hii ina wenyewe
Brazili akisindikizwa na France na au Spain

Ubashiri wa timu zitakazosonga mbele hatua ya makundi

Group A
  • Netherlands
  • Ecuador
Group B
  • England
  • USA
Group C
  • Argentina
  • Poland
Group D
  • France
  • Denmark
Group E
  • German
  • Spain
Group F
  • Belgium
  • Croatia
Group G
  • Brazil
  • Switzerland
Group H
  • Portugal
  • Uruguay
 
Mbape Mbape ye nani?..mtoto ana ego yule pimbi mmatumbi akashiriki riadha. Hatofikia rekodi za akina Ronaldo na Messi mpaka anastaafu soka na mwenzie Neema. Kamati ya roho mbaya tushaweka sahihi za roho mbaya.
Na sisi kamati ya fitina tutahakikisha Mbape anahamia Real Madrid na atazifunja rekodi zote za huyo ndorobo
 
Grp H mtoe uruguay mueke Ghana
 
Group B weka England na Iran aisee
 
Wazee mimi sijawahi kubeti but nataka kubeti mara moja tu timu itakayochukua ubingwa nifanyeje nalipaje!?
 
Na sisi kamati ya fitina tutahakikisha Mbape anahamia Real Madrid na atazifunja rekodi zote za huyo ndorobo
Kwa yale ma speed yake ya ovyo.
Nakuambia wacha aende Real sijui Barca hatoboi yule mtoto. Mtoto mdwanzi tu yule.
Kama una namba yake mkuu mwambie akashindane na Usain Bolt atatoboa huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…