Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Nikiweka buku napata sh ngapi?Sasa wee unataka uweke buku upate million mia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa anataka aweke jero kisha asubiri 100M, 😁😁😁😁Sasa wee unataka uweke buku upate million mia 🤣🤣🤣🤣🤣
KDB alikua sahihi majuz kusema wao ni wazee hata kama alisema kwa Sarcasm lkn ndo ukwl.Belgium zama za wachezaji hawa zimeshapita. Ilikuwa ni worldcup iliyopita. Sasa wameshapita ''pick'' ya uchezaji wao na watazidi kuporomoka. Kina Hazard, Vertonghen, Lukaku wote siku zao za kuwa juu zimepita. Inabidi waanze tena na kizazi kingine
Leo sijui wataziba tena midomoYani hii mechi naisubiri kwa hamu
Hawa mashoga wapasuliwe leo
Wee chukua million, kila yanga akicheza taifa tia mzigo tulia zakoNikiweka buku napata sh ngapi?
Sifanyi ujinga wa kubet Hela zaidi ya elfu 5
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mpira umeanza kuangalia lini ngosha?Hii itakuwa historia kwenye wc kwa timu ya africa kuongoza kundi japo kwa masaa kadhaa
Ndio hivyo mwanawaneJamaa anataka aweke jero kisha asubiri 100M, 😁😁😁😁
Mechi ya leo watauana sababu kuna Ugomvi tayari nje ya uwanja, Kocha wa Canada alisema wata wa F*ck Croatia, na Croatia now wamemind wameedit picha ya Uchi ya kocha wa Canada kwenye Gazeti.Halafu sasa nmeshaona halufu ya canada kushinda
Ikiwezekana wafanye world cup kila baada ya miaka 3Miaka ya Baadae tunaweza kwenda, wanaongeza timu.
Huoni mataifa Africa tulienda walivyoongeza timu.
World cup ijayo kutakua na timu 48 badala ya 32, na sitashangaa wakiongeza hadi 64.
Halafu timu 3 makundi ninavyosikia, sijui kama watabadili baadaeWataharibu mashindano. Hao 32 wanatosha lah sivyo yataensa magarasa sasa.
Mkuu nirushie hata jero40,000 mfukoni faida
Betting it's like a business mwenye mtaji mkubwa ndo anakuwa na asilimia kubwa ya kushinda, kwa mfano leo simba alikuwa na odd ya 1.55 ukiweka 1M unapata 1.5M faida ni 500k lakini ukiweka hyo buku yako unayosema ungepata 1500 faida ingekuwa 500.kwahyo ungekuwa na 1M kwa siku mbili jana na leo ungekuwa ushatengeneza 1M kama faida ambapo wengine wanaisaka mwezi mzimaNikiweka buku napata sh ngapi?
Sifanyi ujinga wa kubet Hela zaidi ya elfu 5
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wachezaji wa Morocco wote hucheza mpira wa kulipya nje ya nchi, kwahiyo taifa star kama malengo ya kushiriki kombe la taifa tunao tuanze na kupeleka wachezaji wetu nje, soma la simba na Yanga halitupeleke popote
Wataharibu ladha ya mashindano na pia nafikiri wachezaji wanaweza kataa maananitaliwa wanacheza mechi nyingi sanaHalafu timu 3 makundi ninavyosikia, sijui kama watabadili baadae
Mwaka huuMpira umeanza kuangalia lini ngosha?
Timu 64 inaongezeka mechi 1 tu mkuu.Wataharibu ladha ya mashindano na pia nafikiri wachezaji wanaweza kataa maananitaliwa wanacheza mechi nyingi sana
🙏Mwaka 1994 nigeria aliongoza kundi mbele ya argentina ya maradona raraa reree View attachment 2429218
1500 inatosha kabisa bando.Betting it's like a business mwenye mtaji mkubwa ndo anakuwa na asilimia kubwa ya kushinda, kwa mfano leo simba alikuwa na odd ya 1.55 ukiweka 1M unapata 1.5M faida ni 500k lakini ukiweka hyo buku yako unayosema ungepata 1500 faida ingekuwa 500.kwahyo ungekuwa na 1M kwa siku mbili jana na leo ungekuwa ushatengeneza 1M kama faida ambapo wengine wanaisaka mwezi mzima