Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Sisi tunaangalia yale matimu yanayosupport ugasho. Hao akina qatar na Tunisia ni udhaifu wa timu zao.
Kama ww sio shoga hayo mambo ya ushoga yanakuathiri vp?
Waafrika bwana mnajifanya kupinga ushoga hadharani ilihali kifichoni mnalala nao!! Hawa mashoga waliojaa Tanzania mabwana zao kina Nani? Waafrika acheni unafiki mngekuwa mnachukia ushoga kweli afrika kusingekuwa na mashoga..
Acheni kutu ektia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…