Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

I can see Barcelona clashing with Germany.Hizi tik taka jamani duh!
 
bado, akipigwa na canada 2-0, hao waulaya wakatoa sare anakua wa tatu
Kwa pira alilo piga leo Morocco sioni Canada kupata hata sare.
Kiufupi wahajemi kutoka Africa wameshatusua.
 
Hii offside ya kibendera sijaielewa japo mpira ulikuwa hauna madhara
 
Huyu mwamuzi vipi lakini?.mbona yule aliechezesha ureno aliwapa penalty
 
Hivi Huyu Dogo Wa Spain [emoji633] anatamkwa Fernando Torres au Nasikia Vibaya?
 
Hivi viberenge vya spain muda si mrefu vitamliza neuer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…