Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Game plan mbovuHili swala la mabeki kubutua mipira mbele hovyohovyo ni mchezo wa kizamani sana, hii ni sawa na wao kuwa sehemu ya team ya Serbia kwasababu wanasaidia Serbia kumiliki mipira kila wanapoipoteza.
Wanajikaba wenyewe, na muda si mrefu watawaka.
La ma ma ma maeTeh tes teh .ma ma mae
Mchizi boti gani tena huyo?Kwangu mimi Mtaalamu ni huyu tu..., Bila huyu leo Africa sidhani kama tungekuwa tuna timu 5
View attachment 2429801
KasemajeNyie huyu mtangazaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wamepoteza magoli mengi kizembe sanaCameroon wamepoteza nafasi kibao acha wapewe somo
DuuuhhHakuna kitu ,watarudi Younde kula FuFu .