Hata,sijaangalia nimeona tuu matokeo..so leo hawajawasha ule moto kama waliocheza juzi?Ghana tia maji tia maji wale mafaza wakina ayew brothers partey na inaki na sio wa kuanza tena wanacheza kifqza sana
Walishinda lkn Moto waliopelekewa siyo wa kitoto walijuta kushiriki[emoji1][emoji1]Hata,sijaangalia nimeona tuu matokeo..so leo hawajawasha ule moto kama waliocheza juzi?
Hafanyagi vizuri mazoezini[emoji16]Hivi kwa nini Rodryigo huwa haanzi ?
Hivi kwa nini Rodryigo huwa haanzi ?
Ngoja waje waliokalilishwa neymar ana utoto
🤣🤣🤣🤣Huwa nawaambia rafiki zangu wa arsenal
Gabriel Jesus ni mchezaji machachari ila sio wa muhimu [emoji16]
Ona Sasa anakula mkeka wakati kule london ni mfalme
Wengi wanadai hivo ila jamaa ana umuhim wakeNgoja waje waliokalilishwa neymar ana utoto