Mimi nawalipuaga tu akijaa anajazwaHata humu huoni watu walivyofura ..sasa tungekuwa live unadhan ingekuwaje? Yani mtu hata hamjui ila anavyojitutumua tugombane kaaah
Sema amenikuta na mm huwa sio mtu wa kugombana kiviile nikiwa jf.
Sa na ww mwaisa unagombanaje na kivuli?Mimi nawalipuaga tu akijaa anajazwa
Uyo sio tu mtetezi ni mmoja wao huoni vichekoHuyo mtetezi wa [emoji304] OG so anawajua vzuri
Nakubari mwanangu leo nmefunga Senegal avukeSa na ww mwaisa unagombanaje na kivuli?
Mpotezee bwana
Definitely...Jabulani was made for Diogo Forlan.
Ile ball wengi waliishindwa kuimaster isipokuwa Forlan pekee ndio aliiweza.
Kuna swali liliulizwa na Goal kuwa ni mpira upi(iliorozeshwa panoja na picha ya kila mpira) uliowasumbua wachezaji tangu kombe la Dunia lianze. Wengi waliutaja Jabulani
[emoji23][emoji23][emoji23] genta Tena jmnCr7 ana ka u superiority flani ivi humu jukwaani naweza mfananisha na GENTAMYCINE maboya sana
Mtu a mind kisa cr7 n punga, kwan mwili ni wake? Akat hata cr7 enyewe hamjui na hajui km kuna mtu ana mzimikia hvyo,Mbona kichekoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaa!!! Vipi niwekee na vidolee juu. Weraaaaaaah.Sema unayumba jikaze kiume
Nakubari mwanangu leo nmefunga Senegal avuke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tenaaaaa? Sasa unataka nilie akat cna cha kuniliza? Km huna furaha ni wee, usitake na wengine wawe km wee.Uyo sio tu mtetezi ni mmoja wao huoni vicheko
Wabongo hawapendi kupingwa au utofautiMtu a mind kisa cr7 n punga, kwan mwili ni wake? Akat hata cr7 enyewe hamjui na hajui km kuna mtu ana mzimikia hvyo,
Wabongo kazi ipo.
Coca kama Coca[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tenaaaaa? Sasa unataka nilie akat cna cha kuniliza? Km huna furaha ni wee, usitake na wengine wawe km wee.
Yaani maskini watu wanamchukia Ronaldo bila sabubu mtu mwenye akijui Wala Hana hbr na ss Ila anachukiwa tu siyo sawa HiloHayo ya kujiskia me wala siyajal kwa kuwa hata mimi nina ego...
Ila ukweli usemwe he is a member of the [emoji304] club
Eti wivu na chuki....nimchukie namjua? Au nagombea mhogo wake?
Watu wengine nlikuwa nawaona wako grown kumbe hamna kitu.
Usiichukulie personal nimejibu na baadhi ya comments za wengine huko juu wanaotaka mawazo yao yawe kama msaafu. Hu ar they?
Life fupi hili dear, ni ku enjoy tyuuuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca kama Coca
Hunaga makasiriko ndo nachokupendea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo kwa kweli, uwiiiihWabongo hawapendi kupingwa au utofauti
Si umeskia jana wapo waliolala rumande kisa mechi ya jana usiku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Brazil Cleansheet na Point 9Mechi ya brazil na cameroon, nawaombea cameroon ushindi
Iran akidraw anasonga mbele.Hii mechi ya Iran vs USA itakiwa mbinde naona mpaka uhasama wa kisiasa wa mataifa haya 2 uta play part.
Kwanza ukishusha ubuyu kule celeb Uniite plsLife fupi hili dear, ni ku enjoy tyuuuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tenaaaa nauletaaaa baadaee, upooooo waa motooooi.Kwanza ukishusha ubuyu kule celeb Uniite pls
Yani watu wanacheza katar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo kwa kweli, uwiiiih