Wakati mwingine nakuelewega bas tu Kuna saa unajianika sna [emoji1]Mtu a mind kisa cr7 n punga, kwan mwili ni wake? Akat hata cr7 enyewe hamjui na hajui km kuna mtu ana mzimikia hvyo,
Wabongo kazi ipo.
MkuuSasa unalia nni rfk angu ,uwiii kbsaa aisee unaharibu Uzi wetu wa FIFA
Nenda kafungue Uzi wako tuje tukusikilize
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wabongo kazi wanayooo, ni full vichekeshooo.Yani watu wanacheza katar
Sio hata timu ya nchi yako
Wakishinda au wakikosa faida ni kwa nchi zao
Wewe ugombane au ujinunishe humu kisa mtu amesemwa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ntawatibua makusudi maana nshawajua hawana kifua
Haya basi Turudini kwenye uzi wa msingiIla naona lengo la Uzi huu umevamiwa kissa tu kibenderaa Cha Jan alichotupiwa Ronaldo
Na ninajua unani elewa na kunikubaliiiiii mnoooo. Yaan huhemi hupumui bila mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati mwingine nakuelewega bas tu Kuna saa unajianika sna [emoji1]
Sina hela za mchezoUsiongope una chukulia kama game tu
Huyo kawaida yake kucheka?hawezi comment bila hyo emojUnachekea nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwel kabisaHii mechi ya Iran vs USA itakiwa mbinde naona mpaka uhasama wa kisiasa wa mataifa haya 2 uta play part.
DuhENGLAND...THE THREE LION`S (IT`S COMING HOME)
Hawa kila mashindano hawaishi kusema it's coming home. Wakishinda mechi moja tu wanaanza kujikweza.ENGLAND...THE THREE LION`S (IT`S COMING HOME)
2018 si alikuwepo Russia alivuka makundiGhana sio wabaya, ila kuliko Cameroon ni bora angepita Algeria
Kwani algeria alishafanya maajabu gani world cup mkuu tuanzie hapo kwanzaGhana sio wabaya, ila kuliko Cameroon ni bora angepita Algeria
Definitely...
When everyone Complaining about Jabulani....Forlàn mastered the ball...
Hivi Jabulani si Adidas hao?
Hivi Kwa kuwa wewe unafukuliwa mtaro wako unadhani na wengine wote wanafanywa kama wewe? Acha kuchafua reputation za watuMtu a mind kisa cr7 n punga, kwan mwili ni wake? Akat hata cr7 enyewe hamjui na hajui km kuna mtu ana mzimikia hvyo,
Wabongo kazi ipo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa, mie nimemchafua wapi huyo cr7? Unawashwaaaa weee. Mxxxieeeeeeew!!!!Hivi Kwa kuwa wewe unafukuliwa mtaro wako unadhani na wengine wote wanafanywa kama wewe? Acha kuchafua reputation za watu
Mtu hachafuliwi anajichafua mwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaa, mie nimemchafua wapi huyo cr7? Unawashwaaaa weee. Mxxxieeeeeeew!!!!