Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hahaha raia mnajifanya kuzijua sana sheria (ujuaji wa kibongo), wakati wakileta vipimo inaonekana kamguu kalizii kidogo, huku hakuna mambo ya kibinadamu[emoji23]

Hiyo hapo penalty, hiyo ndio ya halali.
Kweli mkuu,hata mimi nilikuwa nimehisi vibaya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…