Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kila mtu anasababu yake inayomgusa kwanini ashabikie timu za mataifa mengine wakati taifa lake halishiriki

Mi nashangilia USA hawa ndio wanaotupa misaada ya ndomu kupunguza maambukizi ya ukimwi
Hakuna cha bure duniani Ndugu yangu, biashara kama biashara zingine tu sema sababu S/kali yako ndiyo inabeba huo mzigo huwezijua hata kinachoendelea.

Tambua pia ndiyo hao hao waasisi wa kutengeneza huo ugonjwa [emoji2960]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…