Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #11,981
Leo zinacheza timu gani mkuu??Iran kwann mmetoka mapemaView attachment 2431362
Hahaha....
nasikitika kukuambia kuwa ambacho hakitaku-dissapoint hapo ni hiyo pisi kali pekee...!
Hapa sasa senegal robo ileeeeeeeUingereza na Senegal patachimbika.
Leo zinacheza timu gani mkuu??
Usimfananishe uyo jamaa na vitu vya kipumbavuHuyu mkaka wa [emoji1211] mbna km n kanoute? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sababu hawana uwezoIran kwann mmetoka mapemaView attachment 2431362
Kwan hawaja fanana? Akat wamefanana wee vipi? KhaaaaahUsimfananishe uyo jamaa na vitu vya kipumbavu
Sasa angecheza vp Usa bila uraia asee!Iv uyo dgo keshachukua uraia wa marekani?
Eeeh aisee Iran walikuwa na watoto wakali pale JukwaaniIran kwann mmetoka mapemaView attachment 2431362
Hiki sio kimarekani kabisaUSA for live
Hahah kwmb Senegal akutane na France au Brazil amtoe au sijaelewa mkuu?
Tiba ipi?Kwan hawaja fanana? Akat wamefanana wee vipi? Khaaaaah
Poleeeeee sanaaa, una tatizo wee sio buree, wahi tiba haraka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora wametoka tu, warudi kule kwao wakaendelee na maandamano ya kumuondoa rais waoIran kwann mmetoka mapemaView attachment 2431362