Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Australia ana mechi ngumu, maana Denmark akiwin2 anaenda 16 kwahyo hatokubali kirahisi
 
Mechi ya Leo ina umuhimu mdogo sana kwa France, droo kwao ni ushindi kwa sababu inawafanya waongoze kundi. Kikosi kilichopangwa inaonyesha wazi wameamua kwapumzisha wachezaji wao muhimu
 
Australia ana mechi ngumu, maana Denmark akiwin2 anaenda 16 kwahyo hatokubali kirahisi
Tunisia naye akishinda anasonga mbele, itategemea tu watashinda kwa magoli mangapi
Mimi naamini kama Tunisia leo wakiamua kupress na kuondoa indiovidual errors wanaweza kuwafunga France kwa sababu leo France hawatapress wala kutum ia nguvu sana ya pamoja
 
Kushinda is one thing...., Kupita is quite Another.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…