raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Yes ...mtu wa mwisho ni mchezaji yoyoteHapo kipa anahesabiwa kama defender na huyo beki anahesabiwa kama mchezaji wa mwisho (kama kipa tuseme)
Kuna kitu kizuri najaribu kukueleza ila nakosa namna nzuri ya kukiwakilisha, uniwie radhi.View attachment 2422435
Yanga na hao Equador huoni jeziQatar kama yanga tu
Mkuu hujanielewa, yaani hao wenye nyekundu mchezaji wao ndio alikuwa wa mwisho angalia vizuri picha hizo.. sasa imekuwaje offside ilhali timu shambuliwa ndiyo ilikuwa na mchezaji wake mwishoni?Mtu wa mwisho awe kipa au mchezaji wa ndani
Kazi nzuri mkuu!Kwenye channel 222 unaweza kubadili lugha ikawa english ila 223 still itaongea Kiswahili. Bonyeza option, then scrow kwenye language, then bonyeza help kwenye remote yako, then hapo kwneye default language weka English Original na Alternative language weka English Original then bonyeza back
Ataipata tuJamaa angekuwa na hat trick
Mechi haichezewi Chamazi BanaCamera za Azam Sports 1 jamani zinatia aibu kwenye mechi inayochezwa saizi hapo chamazi
Wewe umekadiria pafupi weka karne 6 zijazoAbout 120 years to come[emoji23]
Nieleweshe mkuu, huenda nikapata kitu. Samahani lakiniWe bado unabishana na VAR?
Tafuta ile snip ya 3D
Weka Chanel 222Hawa watangazi wa kibongo siwaelewi bora wangeweka wa kizungu tu. Kuna vitu muhimu hata hawatangazi wapo busy kupiga story zisizo na maan.Nimeamua kumute tu saut niangakie picha tu
Hawa watangazi wa kibongo siwaelewi bora wangeweka wa kizungu tu. Kuna vitu muhimu hata hawatangazi wapo busy kupiga story zisizo na maan.Nimeamua kumute tu saut niangakie picha tu
Ndio Qatar πΆπ¦ mchezaji wake wa mwisho hakuwa golikipa na sheria haisemi kuw lazima awe golikipa ..hivo offside inahesabiwa kwa kulinganisha wa mwisho yoyote na yule anayekuja kufunga au mpinzaniMkuu hujanielewa, yaani hao wenye nyekundu mchezaji wao ndio alikuwa wa mwisho angalia vizuri picha hizo.. sasa imekuwaje offside ilhali timu shambuliwa ndiyo ilikuwa na mchezaji wake mwishoni?
Mnataka kuendelea kushinda kumazabe mazabe nuie kolowizardHyo VAR wabaki nayo huko huko huku Africa hatuitaki
hawawezi kuchomokaQatar wakichomoka salama kwenye hii mechi mniite mbwa.
Mkuu nenda option kwenye remote then select language unayotakaHawa watangazi wa kibongo siwaelewi bora wangeweka wa kizungu tu. Kuna vitu muhimu hata hawatangazi wapo busy kupiga story zisizo na maan.Nimeamua kumute tu saut niangakie picha tu
Wengi wamekariri lazima awe GoalkeeperNdio Qatar [emoji1203] mchezaji wake wa mwisho hakuwa golikipa na sheria haisemi kuw lazima awe golikipa ..hivo offside inahesabiwa kwa kulinganisha wa mwisho yoyote na yule anayekuja kufunga au mpinzani