Hiyo ndio logic niliyokuwa najaribu kuwasilisha, watu humu hawajui sheria ila wapo kukosoa vitu bila msingi.Yes ...mtu wa mwisho ni mchezaji yoyote
Mm hapa sina timu mkuu ukolo na utopolo hapa sio mahala pake. AhahahaaaMnataka kuendelea kushinda kumazabe mazabe nuie kolowizard
Wanamchezea sn rafu valencia wa watu.Jamani jamani watamvunja mguu huyu Valencia
🤣🤣🤣Qatar wote watakula njano sasa
Kichwa changu basi kigumu mkuu 😂Ndio Qatar 🇶🇦 mchezaji wake wa mwisho hakuwa golikipa na sheria haisemi kuw lazima awe golikipa ..hivo offside inahesabiwa kwa kulinganisha wa mwisho yoyote na yule anayekuja kufunga au mpinzani
Sana aisee ajiangalie wasije mvunja mfupaWanamchezea sn rafu valencia wa watu.
Ni kama Refa naye anazigawa mno...Lol.Qatar wote watakula njano sasa
Yani hawapumuiNDOIGE inaendelea kuwapata wenyeji.
Wasituumizie[emoji1787][emoji1787]Jamani jamani watamvunja mguu huyu Valencia
Hujadanganya. Ni kweli kabisa. Jamaa yangu yupo kule analalamika kwelikweli. Minyani meusi imelilia kushika madaraka matokeo yake ndio hayo. Akili ya mtu mweusi imeshikiliwa na mk**uView attachment 2422387
Hii ni Ratiba Ya Kukatika Umeme ya Afrika Kusini, Kule ESKOM inawanyoosha TANESCO isubiriiiii sema Ndio Vile hawawezi kusema sanaaa. Wanategemea Umeme wa Generator hadi leoooo nchi yenye viwanda vingi vile na Uchumi Mkubwa. Wanapoteza Hela Nyingi sana South Afrika Kuputia Umeme. South Afrika wanaenda Hatua Moja Mbele Hatua Tano Nyumaaa…..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tanzania Tuvumilie tuuu kuna sehemu tupo pazuri
South Afrika Wanakata Umeme hadi Hospitalini [emoji23]
Umeona ee besty.. 😆 😆 😆Wasituumizie[emoji1787][emoji1787]
Hahahahahah mkuu wala sio kigumu ...ili iwe offside inatakiwa uwepo wa mchezaji aliyezidi mwenzake mbele ya mpira namanisha mpinzani kipindi wanashambulia ...timu inayoshambulia wanahesabiwa wawili either wa kwanza awe kipa au mchezaji mwingine na wa pili ambaye atatumika kupima ka mpinzaji kazidi...so hapo kweli kipa alikuwa katoka na wachezaji wawili wa Qatar walikuwa nyuma ya mbili ila mmoja alizidiwa mguu na EcuadorKichwa changu basi kigumu mkuu 😂
Unaweza kunipa ufafanuzi mzuri zaidi? Samahani lakini