Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Hiyo ndio logic niliyokuwa najaribu kuwasilisha, watu humu hawajui sheria ila wapo kukosoa vitu bila msingi.Yes ...mtu wa mwisho ni mchezaji yoyote
Hapo hakuna maswala ya kibinadamu, huo mpira tu una chip ambayo haiwezi kukosea vitu vidogo kama hivyo, wabongo wapo busy kukosoa kwa macho[emoji23].