BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Aaaa wapiiiiUzuri robo fainal itakua France na Argentina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
France ataninyooshea hzo manzese Argentina
Hapana, Kwa Ladha Ya Mashindano, Hawakutakiwa Kukutana MapemaNilitaman Argentina akutane na ufaransa safari yake ingeishia hapo hapo
We najua ni hater wetuUtachoka pumzika please
Subiri uone huna uwezo wa kumfunga FranceAaaa wapiiii
Ndiyo timu ya kwanza kuona hata hawakabi zaidi ya kuzurura tu uwanjani, hivi waliwafungaje hata hao Saud Arabia [emoji848][emoji28]Poland washatepeta
Ata france anaweza banwa mbavuUzuri robo fainal itakua France na Argentina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
France ataninyooshea hzo manzese Argentina
Wote wangu ila Argentina naipenda zaidiSubiri uone huna uwezo wa kumfunga France
Watakutana robo fainal hukoHapana, Kwa Ladha Ya Mashindano, Hawakutakiwa Kukutana Mapema
Mkuu watapigika vbaya sana na Mesi wao akiwemo.. Huyu Argentina hata wale mabishoo wa Brazil wanafunga vizur tuNilitaman Argentina akutane na ufaransa safari yake ingeishia hapo hapo
Nmejiunga kwenuWe najua ni hater wetu
Ngoja apite,akutane na wababe wamkandeSema Argentina anakutana na vibonde tu [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34] sijapenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] serious siku yangu imeshaharibika kbsa Ila safari ya Argentina inanukiaMajirani wa Carrasco putin haipendi Argentina na anaipenda Saudia. Popote alipo najua yuko kwenye discussion na moyo wake either auchukue uhai wake(ajinyonge) au aishi. Majirani wake mtafuteni kabla hajaenda na option ya kwanza
Tumempiga Brazil [emoji1054] tukabeba Copa America Tukampiga Italy [emoji634] tukabeba Conmebol Cup tukaenda 36 games unbeaten bro what are you talking about?upo serious wewe?Argentina [emoji1033] kufungwa na Saudi Arabia ni Argentina [emoji1033] Alidharau game na ni mbaya sana kudharau game huyo unayemsema ni mkubwa kwetu nani?England?France?matako yakoTimu inayocheza nayo Argentina "Poland" ni DHAIFU saaaana, tunza huu ujumbe utaufufua Argentina atakapopigwa kwenye hatua za mtoano au robo fainal.
Hongera kwa ushindiArgentina [emoji1033] imetukanwa mno humu ndani shenzi type leo tumeonyesha mabingwa wa World Cup 2022 ni kina nani
Ndiyomaana hata akikuchombeza "I love you" unampotezea sababu tu hashabikii unachoshabikia wewe[emoji848][emoji1787]We najua ni hater wetu