Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mkuu kila siku sio jumanne!
 
Yaani wote wamevurugwa,halafu wamesahau Mexico akifunga magoal mengi,wanatolewa. Yani Poland wanaudhi.
Mitimu yote uliyoingia last match needing a draw inapigwa kwa sababu ya negative mindset.
Jamani huyo kcha fukuza kabisa mie ningekuwa zielinski ningemtukana kocha. Wee mie napoli nacheza loli hapa unaniambia nikabe dakika zote tisini...upuuzi huu
 
Sema Poland walikuja wc na mkwara mkubwa sana. Eti ndege yao ikasindikizwa na F-16 mbili
Hawa wanasiasa wapigwe tu

Bado uingereza na mjomba ake USA

Ujerumani katulizwa sasa hivi kimyaaa

Mwenzao iran yuko njian kurudi uko wakajibu mashtaka kwa nini hawaimbi wimbo wa taifa
 
Mkuu watapigika vbaya sana na Mesi wao akiwemo.. Huyu Argentina hata wale mabishoo wa Brazil wanafunga vizur tu

Hao mabishoo walikosa Copa America mbele yao[emoji16][emoji16] acheni kuhates. Messi anawaumiz kichwa sana haters damn!!

We are going to the final! Insha Allah!![emoji1488]

Vamos Argentina🤍[emoji170]
 
Kwani wewe matako si yako au ni ya Arse8?

Akili, akili l, akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…