Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Nafikiri hivyo pia, kama umakini wataongezaValencia anaondoka na mpira
tutafute kwanza maji ya kuoga.Vipi watanzania tunaweza na sie au bado tuendelee kungoja kwanza?
Hapo uwanjani mimi naona kama kuna Simba na Yanga [emoji2960]Mm hapa sina timu mkuu ukolo na utopolo hapa sio mahala pake. Ahahahaaa
KaumiaaValencia anaondoka na mpira
Hii nimekuta Engl.. kiswahili kilikuwa hata hakinogiKama kwenye simu kuna 226 jaribu kama nayo ni kiswahili as kwenye tv ni English
Trilion 500+ ni pesa ndefu,mwarabu anajua kuitumia pesa.wametumia USD B229
Sawa na Trillion 500+
Nimekimbia zamani sana kwenye kiswahili.Hii nimekuta Engl.. kiswahili kilikuwa hata hakinogi
Siwaelewi.Hawa wanaoshangilia ndo wamevuta mkwanja nini?
Wamelipwaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa jamaa wanajua kushangilia bwana, yani wabongo tumezidiwa kila kitu. Wabongo uwaambie washangilie kwa sauti hivyo non stop hata kwa first half, utaokota wengi mno wenye visukari mixer mioyo kufeli[emoji23].
Tutawazidi nini weupe?
Dah, ntafuatilia vizuri huenda Mimi nimekariri mkuuHahahahahah mkuu wala sio kigumu ...ili iwe offside inatakiwa uwepo wa mchezaji aliyezidi mwenzake mbele ya mpira namanisha mpinzani kipindi wanashambulia ...timu inayoshambulia wanahesabiwa wawili either wa kwanza awe kipa au mchezaji mwingine na wa pili ambaye atatumika kupima ka mpinzaji kazidi...so hapo kweli kipa alikuwa katoka na wachezaji wawili wa Qatar walikuwa nyuma ya mbili ila mmoja alizidiwa mguu na Ecuador
Sawa mkuuDah, ntafuatilia vizuri huenda Mimi nimekariri mkuu
Emancipate yourself from Mental Slavery.....Hawa jamaa wanajua kushangilia bwana, yani wabongo tumezidiwa kila kitu. Wabongo uwaambie washangilie kwa sauti hivyo non stop hata kwa first half, utaokota wengi mno wenye visukari mixer mioyo kufeli[emoji23].
Tutawazidi nini weupe?
Yanga anaongoza mbili😂😂Hapo uwanjani mimi naona kama kuna Simba na Yanga [emoji2960]