Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hata Kama ni wewe Argentina, Brazil na moroco Nani kibonde .....spain kafuata plan zake ....

Hiyo German kavuna alichopanda
That's why unashangilia Manchester City hatushangai ina maana kwa akili yako timamu Costa Rica angeshinda ingekuwaje?au unataka kusema Spain kamuhonga Costa Rica?hivi kwa nini baadhi yenu akili zenu mnaacha Toilet?
 
Watu wanatamn kulia si kulia, kucheka si kucheka. Wachezaj nguvu zimewaishia...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpr una emotions Mby sana asee[emoji23].. Yan kama sio ufala wa Costa Rica wamefunga hlf hawana nidhamu ya kucheza kama Japan kwa nidhamu kulinda ushind leo stry ingekua nzr sana kundi ambao Walikuwepo Giants wote nje.
 
That's why unashangilia Manchester City hatushangai ina maana kwa akili yako timamu Costa Rica angeshinda ingekuwaje?au unataka kusema Spain kamuhonga Costa Rica?hivi kwa nini baadhi yenu akili zenu mnaacha Toilet?
Wewe fala mpira umeaangalia kweli ,mpaka HT Spain anaongoza na kocha was Spain alikuwa anaangalia matokeo ya German ,so alipiga hesabu GD na dakika zilizobaki ,akajua German hawezi wafikia akalegeza gia ,Japan wakafunga na kuongoza ...

Huwezi elewa kijana ....tulia ...

Mpira NI akili hakuna kubebana vitani
 
Mpr una emotions Mby sana asee[emoji23].. Yan kama sio ufala wa Costa Rica wamefunga hlf hawana nidhamu ya kucheza kama Japan kwa nidhamu kulinda ushind leo stry ingekua nzr sana kundi ambao Walikuwepo Giants wote nje.
Ndo maana nikauliza Costa Rica walinywesha nini??? Maana ndani ya box kafika mjeruman...wanacheza kama rede wanajigeuza upande kukwepa dei...like what the heck
 
Nilisema katk Uzi wangu kuwa ujerumani atavuna alichopanda yoyote anayesapoti ushoga wasi wasi Hana nafsi katk world cup

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…