Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kwny hii betting yako umepatia kwa upande wa kulia kundi la France, France ataingia Fainali, ila kwa kushoto umechemsha Mzee...Argentina atafungwa na Nerthelands then Brazil atamfunga Spain....kisha Fainali zitaingia Brazil & France.

Tupo hapa
Duh sometimes kuna watu wanajua kujitoa akili hehehehe Netherlands [emoji1179] ipi ya kumfunga Argentina [emoji1033]?hehehehehe tuwe serious sometimes
 
Mpira chini unakuwa mwembamba na kati una mahips, camera ya chini inaonesha chini ya mpira umetoka, lakini mahips ya mpira bado yalikuwa kwenye line, camera ya Juu ya var imeonesha mpira haukutoka.
Mahips 😂😂😂
 
Huo ni ushamba sasa
 
Watanzania utawaweza. German imekuwa mabingwa Mara nne sisi hata kufuzu hatujawahi.. na hatujawahi kusapot ushoga.
 
Netherlands hii hii au nyingine? Netherlands iliyo struggle kwa ecuador ije imfunge Argentina! Ndio ni football lakin nertherlands kwa Argentina bado sio game tough kwa Argentina.
Ukumbuke pia Argentina iliyobondwa na Saudia ndo imfunge mholanzi?
 
World cup ya teknologia ni ngumu, mikeka inachanika kama haina akili nzuri, itabidi waweke odds za je goli litamuliwa na teknolojia au la!
 
Dah Spain kapitaje mbwa uyo dah nimeumia sana........yan wajerumani wanapambana kwa ajili ya kumpitisha Spain aaaarrgh.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…