vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Yan Ayew ni mpumbav kiwango kingne kbs hlf me nilipoanza pata mashaka ni pale amesbr kama sekunde 30 hlf tena anaenda nasita Sita Yan nikajua izi penalty za mtindo huu uwa zina mashaka sana.Amepiga penat kizembe sn, ameboa. Angewaachia wengine. Kwanza atoke tu mxiiiiuuuu zake ameniudhi
PokerYule jamaa anawekaga clip za magoli yuko wapi?
Aniwekee nione
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Daaa kwa kweli, ila tu nnavoipenda acha tu.This is not healthy. Usiweke izi takataka moyoni. Angalia akitoka uyo Ghana si basi. Maana kiukweli hamna kitu anafanya. Life is too..sweet to be disappointed by the choices...fools make
Hapa anayefunga Vilago Ni Cameroon Na SwetzerlandView attachment 2433682
Alionekana tu km atakosa. Penat mbaya sijui aliwaza nn. Yn leo kawaangusha wenzie hlf ndo captain ssYan Ayew ni mpumbav kiwango kingne kbs hlf me nilipoanza pata mashaka ni pale amesbr kama sekunde 30 hlf tena anaenda nasita Sita Yan nikajua izi penalty za mtindo huu uwa zina mashaka sana.
Kabisa...mi alivyokua anaenda kupiga penalty...nikajua hapa hamna kitu. Asamoah anacomment hapa anasema Ghana is not himself right now. Like Ghana...amevaa personality nyingine. Its not even playing...this is a serious game but stuff ghana is doing right now....very shittyYan Ayew ni mpumbav kiwango kingne kbs hlf me nilipoanza pata mashaka ni pale amesbr kama sekunde 30 hlf tena anaenda nasita Sita Yan nikajua izi penalty za mtindo huu uwa zina mashaka sana.
Na waafrica walivo ma gubu mbona atakomaAyew akirudi ghana apigwe vibokoo
Leo hawachezi kbs, mech zao mbl walicheza vzr. Lkn leo sijui wamekumbwa na nn. Au ndo walipania snKabisa...mi alivyokua anaenda kupiga penalty...nikajua hapa hamna kitu. Asamoah anacomment hapa anasema Ghana is not himself right now. Like Ghana...amevaa personality nyingine. Its not even playing...this is a serious game but stuff ghana is doing right now....very shitty
Nimemsikia hapa Yan watahitaj miracle zaid kurudisha izo goal.. Inawezekana lkn pia style yao ya uchezaj wabadilike wanacheza mpr wa ovyo.Kabisa...mi alivyokua anaenda kupiga penalty...nikajua hapa hamna kitu. Asamoah anacomment hapa anasema Ghana is not himself right now. Like Ghana...amevaa personality nyingine. Its not even playing...this is a serious game but stuff ghana is doing right now....very shitty
Kataka mwenyewe kukosa, dah unapigaje penat namna ile jmn. Amewaangusha wenzie leo, lawama anazibeba yy km wakishindwa kufuzu next round.I feel sorry for ayew
Kukosa tuta la muhimu km lile mbaya sana
Tunaamini ghana atasawazisha
Penati za kina Michael Ballack enzi hizopenati inatakiwa upigè bakora ata kipa akitema unamalizia yani unapiga kipa anadaka kabisa[emoji23][emoji23] cha kushangaza 2010 south africa alikuwa bench alimuona mwenzake asamoah akikosa penati na yeye kayarudia yale yale..
Ndio nafika home hapa.