Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Hii Brazil ikikutana na Tim nzuri yenye washambualiaji makini haichukui round inatoka.
Ngoja akapumzike nje[emoji1787]Si ana kai huyu anavua jezi?
Yaani akili za waafrika ngumu sana kuzielewa. Scope ya mafanikio yao fupi Sana.Ha ha ha Sasa huyu jamaa kavua jezi si anakula red? Ha ha ha
Mpaka serbia na suiz wadrawDaaa Cameroon 16 Bora ileeee
Nyekundu kwani alikuwa na njano?Ha ha ha Sasa huyu jamaa kavua jezi si anakula red? Ha ha ha
Muacheni aenjoi goli lake hata ningekuwa mimi ningevua kubababakeekala redcard kiboya
Alikuwa na njano tena ya dakika za 80+Nyekundu kwani alikuwa na njano?
Furaha ilimzidia akajisahau🤣🤣🤣Alikuwa na njano tena ya dakika za 80+
Muache aenjoi acheni kejeliKulikua na haja gani ya abubakar kuvua shati kweli manyani haya