Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mechi inafika mpaka dakika ya 75 hakuna hata sehemu ambayo VAR imetumika
 
Kiukweli ni kwasababu ni waafrica...ila sina imani na timu zetu, yaani mchezaji wa africa akiwa na mpira mda wowote anaweza nyang'anywa...bora Ghana kidogo wachezaji walikuwa na uwezo wakumiliki mpira tatizo na wao walikuwa hawajitumi kama Cameroon.
 
Back
Top Bottom