Sawa mkuu, ni vizuri zaidiMi nafuatilia kupitia supersport ya DSTV Mkuu, hao TBC na Azam hawajawahi kuwa serious
Qatar 0-2 EcuadorBado tuko gizani
Ufunguzi umeishaje
Pole aisee!Bado tuko gizani
Ufunguzi umeishaje
Bado tuko gizani
Ufunguzi umeishaje
Kitu kingine ni mikwara pamoja na ubishiKitu pekee Mtu mweusi anachogundua ni aina ya mziki wa Singeli na Rhumba.
Aisha tnachomzidi Mzungu ni uwezo wa wanawake wetu kutingisha makalio...kwa level ya juu inayomshangaza Mzungu hasa pale anapotingisha tako moja huku lingine likiwa limetulia
Kesho Senegal atawashangaza walimwengu. Atampiga Nerthelands 2 au 3Ecuador na Qatar hawajaachana sana
Zile fununu za Qatar kuhonga washinde mechi ya leo hazikufua dafuQatar 0-2 Ecuador
Ongeza na MajunguKitu kingine ni mikwara pamoja na ubishi
Yeah mi mwenyewe karata yangu nimempa senegal, timu za Africa zote nitazishangiliaKesho Senegal atawashangaza walimwengu. Atampiga Nerthelands 2 au 3
Tutakutana hapa.
Hahaha ndio maana zikaitwa fununuZile fununu za Qatar kuhonga washinde mechi ya leo hazikufua dafu
Yaan acha tuYaani imagine umelipia 56,000 na bado Tanesco wanakukosesha burudani
Huyu jamaa alikiwasha sana, huko mbeleni akiwa na moto huu huu nadhani ma agent lazima wagombanie saini yakeMan of the match: Ener ValenciaView attachment 2422588
Wazee wamelambwa 🤣Qatar 0-2 Ecuador
Yaan acha tu
Niliangalia kidogo na simu
Hata sikumbuki simu iliponitoka mkononi.. nashtuka sahivi bado giza 😂
Ila mziki wa rhumba ni habari nyingine kwa kweli.Kitu pekee Mtu mweusi anachogundua ni aina ya mziki wa Singeli na Rhumba.
Aisha tnachomzidi Mzungu ni uwezo wa wanawake wetu kutingisha makalio...kwa level ya juu inayomshangaza Mzungu hasa pale anapotingisha tako moja huku lingine likiwa limetulia
Ngoja tuweke alama aiseeKesho Senegal atawashangaza walimwengu. Atampiga Nerthelands 2 au 3
Tutakutana hapa.
Bahati mbaya ni mzee tayariHuyu jamaa alikiwasha sana, huko mbeleni akiwa na moto huu huu nadhani ma agent lazima wagombanie saini yake