Four-Star General
Member
- Nov 18, 2022
- 41
- 115
Kesho England akifungwa itakuwa poa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hujui unaelekezwa unaleta ubishi kama una mshipaAcha ujinga
Kesho wanaonyesha moja badala ya tatu hauoni km tatizo hapoIla si tunaona mechi mkuu,
Kesho tbc wanatubless na mechi ipi mkuuKesho wanaonyesha moja badala ya tatu hauoni km tatizo hapo
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Netherlands VS Senegal saa moja kamili usikuKesho tbc wanatubless na mechi ipi mkuu
Valencia mbona ni babu, amecheza sana Epl West ham pale, sasa hivi anamalizia tu umri fenerbahceHuyu jamaa alikiwasha sana, huko mbeleni akiwa na moto huu huu nadhani ma agent lazima wagombanie saini yake
yule Mkorea? anaitwa Jung kook na Nyimbo inaitwa DreamerKuna wimbo mmoja umepigwa mwishoni live performance nimeuelewa Sana unaitwaje Na muimbaji Ni nani
Miaka 33Huyu jamaa alikiwasha sana, huko mbeleni akiwa na moto huu huu nadhani ma agent lazima wagombanie saini yake
Daah nimekuwa na Siku mbaya leo...nimeshindwa hata kuangalia mechi ya ufunguzi!!
Kwake anaona poaKesho wanaonyesha moja badala ya tatu hauoni km tatizo hapo
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Asante Sana chief.yule Mkorea? anaitwa Jung kook na Nyimbo inaitwa Dreamer
Ila watu weusi Umaskini Umetufanya Tuzamie sanaaaa Nchi za Watu
Imefika pahala wazungu hawawezi kutukwepa wala kutukimbia ni Kama Maji [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo huu ndo wimbo bora wa fifa auAsante Sana chief.
Sijajua mkuu Ila mm umenivutia sanaKwahiyo huu ndo wimbo bora wa fifa au
Asante my dear namuomba Mungu hili jaribu nilishinde .....sijawahi kukosa mechi ya ufunguzi aisee roho inaniuma leo kuikosaPolee
Hii nchi Tanesco kaz sana Yan hata kua na ustarab kipind hiki watulie watu wapate burudan ya soka.Asante my dear namuomba Mungu hili jaribu nilishinde .....sijawahi kukosa mechi ya ufunguzi aisee roho inaniuma leo kuikosa
Mkuu achana na waarabu nakushauri mapema....Waarabu mdebwedo nawasubiri wakush wa iran labda watatutoa kimasomaso