Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Yan sijawah amin umr wa wachezaj weng wa Africa.

Ss Vincent kwl ana 30 dah.. Aya bana Sawa.
Ulishawahi kumtizama haaland na umri alio nao je vinaendana?
Kinachosababisha ukatae umri wa aboubakar ni kipi?
Hebu mfikirie haaland miaka 5 ijayo
Hivi wayne rooney kwa sasa umemuona?
Vipi ukiambiwa CR7 ni mkubwa kwa Rooney? Kwa nin usibishe ila unakuja kubisha kwa mwafrika mwenzio?
 
Maghana mapumbavu sana. Moroko ndio timu pekee yenye point nyingi iliyovuka hatua ya makundi. Ina point saba na wengine ni sita, nne..kanada na Qatar ndio timu zenye point zero kwenye michuano hii. Wachezaji Wengi asili ya kiafrika wenye wanacheza timu za ulaya waneshine kimtindo, mfano; Masiala Jamal, Davis Alphonso, yule mtoto wa Wear, yule dogo wa uholanzi, kipa wa Furance, na wengine weeengi ..
 
Timu za Asia msimu huu zimefanya powa sana imagine Japan anamkazia Spain, siyo Jambi dogo. South Korea anampiga Portugal ..kwa kweli mupira sasa ivi umebadilika sana, saivi ni rahisi sana kupata taarifa za muhimu kuhusu timu pinzani na kujua namuna ya ku deal nao
 
Haiwezekani Netherland akamfunga USA

England hawaucheza kawaida walizidiwa

Utaona kesho hao Netherland kama watakuwa na mikazo ya kwenda second half bila kuongozwa
Sidhani kama USA atamtoa Nerthelands..forward yao ukimtoa Pulisic hawana maajabu pale.

Weah anatengenezewa na pulisic, akikabwa vizuri huyo kwishney
 
Kombe la dunia la msimu huu kuna wezekano lisibaki Ulaya..Ila pia sitar’s Ajentina wakati Burazili wabebe..[emoji4][emoji4]
Ulaya wanajiwekeaga timu nyingi, mpaka mchana wa jana walikuwa na Timu 7 imagine. Sasahivi bado kama 6 au 5
 
Hivi kwanini ulaya zinaingia timu nyingi? Yani wanatumia vigezo vipi?
Vigezo wanavyoangalia ni performance za nchi husika katika soccer. FIFA wanasema wanaangalia bara ambalo nchi zake zimechukua WC zaidi hasa kwa siku za karibuni

Kingine wameweka wazi kuwa kwa bara la Africa, Asia na America ni timu chache zinamudu kuleta ushindani katika WC (Which is true)....watu hawataki kwenda kuangalia mpira wa kuboa, Brazil au Spain inacheza na Msumbiji na kumfunga 15[emoji23]

Ila wanasema mwaka 2026 kwasababu timu zitaweza kuwa 48, basi Africa itapeleka timu 9 badala ya 5 kwsbb kwa siku za karibuni wachezaji wa Africa wameperform vizuri katika National teams
 
Mambo yakibaki hivi dakika tano za mwisho Eto afanye kazi yake kwa kuongea na viongozi wenzake wa Brazil issue imalizike chini ya Meza..., Hawa Brazil na Sisi Africa ndugu kabisa
Ndiyo jeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…